Mbelwa Kairuki ateuliwa kumrithi January Makamba Ikulu

Status
Not open for further replies.
ujinga. Ningekuwa na uwezo ningelipuwa ofs za vigogo. Kwan hamna wa2 wengne? Vyeo kupeana peana kiholela@
wa2 wengine wapo idara nyingine za serikali, ila watoto wa vigogo ndio wapo available

pia usisahau kwamba watoto wengi wa makabwela wamepita shule za kata kwahiyo hawakufika ulaya
 
"Rais Jakaya Kikwete amemteua Mbelwa Kairuki kuwa msaidizi wake katika masuala ya hotuba Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Katibu Mkuu Kiongozi, Philimon Luhanjo, uteuzi huo ulianza Jumatatu wiki hii. Kairuki amechukua nafasi iliyoachwa wazi na Januari Makamba ambaye amechaguliwa kuwa mbunge wa Jimbo la Bumbuli mkoani Tanga. Kabla ya uteuzi huo, Kairuki alikuwa msaidizi wa Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa."CHANZO: NIPASHE




Who was assisting Mr. Ben in composing "catchy" Speeches.,despite all other weakness but at least tulikuwa tunapata radha ya hotuba., sijui huyu msaidizi mpya atakuwa na jipya or business as usual
 
"Rais Jakaya Kikwete amemteua Mbelwa Kairuki kuwa msaidizi wake katika masuala ya hotuba Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Katibu Mkuu Kiongozi, Philimon Luhanjo, uteuzi huo ulianza Jumatatu wiki hii. Kairuki amechukua nafasi iliyoachwa wazi na Januari Makamba ambaye amechaguliwa kuwa mbunge wa Jimbo la Bumbuli mkoani Tanga. Kabla ya uteuzi huo, Kairuki alikuwa msaidizi wa Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa."CHANZO: NIPASHE




Who was assisting Mr. Ben in composing "catchy" Speeches.,despite all other weakness but at least tulikuwa tunapata radha ya hotuba., sijui huyu msaidizi mpya atakuwa na jipya or business as usual

Tusubiri matokeo!!
 
hivi huyu Januari ndo basi tena...daaah siasa bana yaani alikuwa anawaza kuwa atakuwa hata naibu waziri flani hivi...haya sasa kiko wapi
 
"Rais Jakaya Kikwete amemteua Mbelwa Kairuki kuwa msaidizi wake katika masuala ya hotuba Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Katibu Mkuu Kiongozi, Philimon Luhanjo, uteuzi huo ulianza Jumatatu wiki hii. Kairuki amechukua nafasi iliyoachwa wazi na Januari Makamba ambaye amechaguliwa kuwa mbunge wa Jimbo la Bumbuli mkoani Tanga. Kabla ya uteuzi huo, Kairuki alikuwa msaidizi wa Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa."CHANZO: NIPASHE






Who was assisting Mr. Ben in composing "catchy" Speeches.,despite all other weakness but at least tulikuwa tunapata radha ya hotuba., sijui huyu msaidizi mpya atakuwa na jipya or business as usual


Hakuna mabadiliko, Januari type.......mambo ni yaleyale!
 
hivi huyu Januari ndo basi tena...daaah siasa bana yaani alikuwa anawaza kuwa atakuwa hata naibu waziri flani hivi...haya sasa kiko wapi

uropokaji wa baba yake na meseji za rashid shamte vimemponza.
 
hivi huyu Januari ndo basi tena...daaah siasa bana yaani alikuwa anawaza kuwa atakuwa hata naibu waziri flani hivi...haya sasa kiko wapi
We subiri safari si ndo imeanza, kwani akina Ngereja walianza mawaziri, ni asbh mno, kwani umemsahau Mkuu, si mda utasikia hyu yule kawa hv.
 
We subiri safari si ndo imeanza, kwani akina Ngereja walianza mawaziri, ni asbh mno, kwani umemsahau Mkuu, si mda utasikia hyu yule kawa hv.

Rais mwenye akili timamu hawezi kumteua huyu dogo kuwa Waziri.

Anaujua vizuri mpango wa meseji za uchochezi dhidi ya Dr. Slaa.

Ni mvuruga amani.

Hafai.
 
Bado sijamkubali Kikwete kama rais makini hasa baada ya kulazimisha ushindi uchaguzi uliopita....
Mwacheni ateue na kuteua lakini dhamira inamsuta na itaendelea kumsuta.
 

Who was assisting Mr. Ben in composing "catchy" Speeches.,despite all other weakness but at least tulikuwa tunapata radha ya hotuba., sijui huyu msaidizi mpya atakuwa na jipya or business as usual


Labda amuombe Mr.Ben awe ana-edit kabla ya kwenda hewani..labda ladha itarudi..
 
wa2 wengine wapo idara nyingine za serikali, ila watoto wa vigogo ndio wapo available

pia usisahau kwamba watoto wengi wa makabwela wamepita shule za kata kwahiyo hawakufika ulaya

Mbuzi siku zote anakula urefu wa kamba yake. Kwa suala la mtu wa karibu wa Rais usitegemee atachukua mtu yeyote tu (hasa marais wetu wa huku Afrika). Lazima ataangalia uwezo wake kielimu, uzoefu wa siasa za kimataifa na mtu 'anayeaminika na kumfahamu'.

Kwa hili, ni vigumu mtu wa huko kijijini kupata nafasi.
 
Ntemi Kazwile, kijana deserves the best, sio nyota ndio imeanza kuiwakia familia, kijana anatoka familia bora, ambapo angeamua kufanya kazi ndani ya kitegauchumi cha familia, angelipwa ten times better, hivyo alipoingia serikali, naamini aliingia with determination and for the love of it na sio for the reward.

Nilimkubali jamaa ni jembe, wakati wa vikao vya UN GA, jamaa alikuwa stationed NW kipindi chote akinyoonya mambo, huku akiishi simple life pale kwa Mama K. Mt. Vernon. Anatoka high profile family and yet anaishi down to earth life, hakujisikia yuko juu, sasa ndio kapandishwa juu kiukweli ukweli.

Apewe hongera zake.



Nakubali...Go Mbelwa, go....u deserve that!!!
 
Watanzania majungu hayataisha, akiwa mwanaume kapendelewa au jina la baba yake, akiwa mwakamke wamemchakachua. Hamtakawia hapa kusema amepata cheo hicho kwa sababu ya mkewe....aargghhh
 
Thanks Pasco ni kweli he is down to earth... Lakini nadhani tunachoangalia hapa ni technical capacity yake na si amekaa kwa nani sijui babake alikua nani au kwao angelipwa ngapi

Naomba nizungumzie uwezo wake kulingana na nafasi aliyopewa; nimepata habari kwamba he is excellent technically na ni mwanasheria na elimu ya juu pia ya management, he is visionary and calm

I hope this will add to his down to earth qialities alizosema pasco

Achape kazi, afike mbali zaidi ya hapo.
Tunahitaji kuona speech safi toka wa president, na akiweza amshauri mkuu kusoma yale anayomwandikia ili kupuguza gaffes .
 
Kwani aliyeteuliwa kigogo? .... tufike wakati watanzania tuache kuwa na wivu ila tutafute mbinu za sisi pia kuonekana tuna uwezo wa kufanya kazi fulani, huyo kijana aliyeteuliwa ameonyesha uwezo mkubwa wa kufanya kazi kama hiyo tena nje na ndani ya nchi , fuatilia nondoz zake na profile yake mkuuu
 
You know!!!! mkiwa hivyo hakuna kiongozi hata mmoja mtakubali , kila atakayechaguliwa mtakuwa hivyo hivyo mnafikri kapendelewa ......
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom