mbegu za kiume

mmmhh inategemea unakula milo mingapi kwa siku kama miwiili and below kazi ni kubwa sana kunenepa lakini ukijitahd hata 2.5 nk kauwezekano kapo kidogo,..nakuhakikishia

Mimi sili mbegu za kiume nala breakfast , na lunch. Usiku fruits
 
Kula vyakula ambavyo ni good source ya protein ,mayai ya kuchemsha, nyama, maziwa fresh changa na asali, ongeza uji wa soya au kunde. Supu ya samaki ,maharage. Pia tumia natural juices usichanganye matunda zaidi ya matatu,kula carrots, avocado muda ambao tumbo liko empty.

Mh. We mdada... Hizo nilizobold sio... Hivi unajua kuwa soya ni oestrogenic? Zinaongeza uzalishaji wa hormone ya oestrogen (hormone ya kike). Akila hizo lazima aote matiti. Hata mwanamke akila sana soya, ajue kuna vitu vitabadilika ...hamu ya ngono, Urefu na intensity ya menstruation, ngozi na mbaya zaidi zinaweza kusababisha mauvimbe kwenye tumbo la uzazi...
 
Nimeuliza maana ninawashangaa wanaoniambia kwamba mbegu za mumeo zimekukubali. Kisa nimeongezeka sana toka nimeolewa. Nimeolewa miezi minne ilopita.Though not pregnant but meongezeka. Sasa nimewasikia watu wengi wakiniambia hivyo. Nawashangaa kweli ndio nikasema niulize

Mbegu hazinenepeshi dada, ila umeridhika tu na maisha ya ndoa, ingekuwa hivyo machangudoa wangekuwa wanene sana.
 
Hazinenepeshi ndugu, kitu kinachonenepesha ni kile kinacholiwa na kuingia kwenye mfumo wa chakula, usimdanganye mwenzio,
Samahani usije niambia nithibitishe kwa nini nimekuambia umedanganya.

E bwana simdanganyi mbegu ikimkubali ikamea kwanini asinenepe?
 
Nimeuliza maana ninawashangaa wanaoniambia kwamba mbegu za mumeo zimekukubali. Kisa nimeongezeka sana toka nimeolewa. Nimeolewa miezi minne ilopita.Though not pregnant but meongezeka. Sasa nimewasikia watu wengi wakiniambia hivyo. Nawashangaa kweli ndio nikasema niulize

Mwanangu hapa JF inabidi uwe na akili za mbayuwayu. Halafu jaribu kusearch kwanza humu jamvini kabla hujauliza kitu. Hili swali lako lilishaelezwa humu kama wiki iliyopita tena kitaalamu kabisa. Inaonyesha wachangiaji karibu wote aidha hawakuiona hiyo posti, au wamesahau au wanakupotezea. Akili m kichwa!
 
Mh. We mdada... Hizo nilizobold sio... Hivi unajua kuwa soya ni oestrogenic? Zinaongeza uzalishaji wa hormone ya oestrogen (hormone ya kike). Akila hizo lazima aote matiti. Hata mwanamke akila sana soya, ajue kuna vitu vitabadilika ...hamu ya ngono, Urefu na intensity ya menstruation, ngozi na mbaya zaidi zinaweza kusababisha mauvimbe kwenye tumbo la uzazi...

inategemea na quantity ya soya anayotumia, ushasema akila sana.
 
Mwanangu hapa JF inabidi uwe na akili za mbayuwayu. Halafu jaribu kusearch kwanza humu jamvini kabla hujauliza kitu. Hili swali lako lilishaelezwa humu kama wiki iliyopita tena kitaalamu kabisa. Inaonyesha wachangiaji karibu wote aidha hawakuiona hiyo posti, au wamesahau au wanakupotezea. Akili m kichwa!


Ndg Matarese hiyo post naona ilinipita sijaiona ndugu yangu hebu nipe link niisome. Thanks in advance
 
Mbegu hazinenepeshi dada, ila umeridhika tu na maisha ya ndoa, ingekuwa hivyo machangudoa wangekuwa wanene sana.

Mhh sio kweli bana hivi malaya atakubali kulala na wewe bila condom that is impossible.....Hawezi kukukubalia hata kidogo......
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom