Sikonge
JF-Expert Member
- Jan 19, 2008
- 11,550
- 6,062
Kweli ukipenda, chongo utasema kengeza.
Mbatia kashusha Mianzi, wengine wanaona kawashushia Nondo.
Sasa Maisha magumu yanahusishwaje na Chadema?
Mwambie katika nondo zake basi aongeze kuwa Ukame na kukosa umeme, kumeletwa na Dr. Slaa.
Mwambie hata wanae wakifeli au akikosana na mkewe (hivi ana mke) basi ajue ni Chadema.
Udini pia umeletwa na Chadema vilevile.
Mbatia kashusha Mianzi, wengine wanaona kawashushia Nondo.
Sasa Maisha magumu yanahusishwaje na Chadema?
Mwambie katika nondo zake basi aongeze kuwa Ukame na kukosa umeme, kumeletwa na Dr. Slaa.
Mwambie hata wanae wakifeli au akikosana na mkewe (hivi ana mke) basi ajue ni Chadema.
Udini pia umeletwa na Chadema vilevile.