Mbatia: Uhakiki wa vyeti feki uanzie kwa Rais na viongozi wengine

Uhakika usiishie kwenye vyeti tu hata yule ambaye ana cheti cha Ukweli apewe mtihani afanye tuone kama atafaulu kuona kile alichosomea ni kweli?

Daah mimi tropic ya biology nitayoikumbuka ni Digestion na reproduction- human reproduction
 
Hawa watu wanaozusha mambo humu jamii forums siku zao zinahesabika. Dawa inachemka ili nao waanze kuadhibiwa kama wale wa whatsapp, facebook, twitter, instagram na mitandao mingineyo. Technologia ya kuwatambua kama amechangia kupitia simu ya kiganjani, laptop, PC awe alikaa kwenye internet cafe au nyumbani inakaribia kuwekwa pale TCRA na watawadaka kadri siku zinavyokwenda.
Whatsap? Umdake vipi wakati encription ni kati ya mtumaji ujumbe na mpokeaji? Labda waingize watu kula group la whatsap. Isitoshe wewe ni mwathirika wa swala tajwa ndo maana unatokwa povu.
 
Utambuzi wa degree feki uanza kwanza na degrees zilizopatikana nje ya nchi.
Masomo nje ya nchi ndio kikwazo kikubwa cha kukuza elimu nchini.
Accreditation ya degrees za nje ni jipu linaloisumbua TCU.
 
Aisee weka hiyo prospectus ya chuo chochote kinachotoa PhD ya chemistry kuanzia miaka 5!

Wakati unatafuta jaribu kupitia "calendar activities" ya hivi vyuo vinavyoongoza kwa ubora Afrika ya mashariki. Department of Chemistry - Thematic Areas | School of Physical Sciences na Postgraduate
Wewe usichanganye eti Africa Mashariki, wewe kama msukuma mnamtetea jamaa enu, aweke vyake vihakikiwe PhD Ya Chemistry haisomwi miaka mitatu, mkiki wa chemistry sio masihara
 
Unaleta mambo ya ukabila tena! Mimi nimekuonesha vyuo vya Afrika Mashariki, lakini ukihitaji vyuo vingine tunaweza kuangalia pia.

Kwa kukusaidia taja chuo chochote duniani kinachotoa PhD ya chemistry kwa zaidi ya miaka 5?
Havard University, South Carolina, Oxford University, Cambridge
 
Unaleta mambo ya ukabila tena! Mimi nimekuonesha vyuo vya Afrika Mashariki, lakini ukihitaji vyuo vingine tunaweza kuangalia pia.

Kwa kukusaidia taja chuo chochote duniani kinachotoa PhD ya chemistry kwa zaidi ya miaka 5?
Nipe sababu moja ambao unayoitegemea kwanini Magufuli asihakikiwe
 
Wewe usichanganye eti Africa Mashariki, wewe kama msukuma mnamtetea jamaa enu, aweke vyake vihakikiwe PhD Ya Chemistry haisomwi miaka mitatu, mkiki wa chemistry sio masihara
Huyu masunga ni mkabila, anatetea usukuma ndio maana kwenye uzi mwingine wa msukuma pia anatoa povu hatari sana!
 
Mhe. James Mbatia (MB) Vunjo, na Mwenyekiti Taifa NCCR. Ametaka zoezi la uhakiki wa vyeti feki ni vyema likanzia kwa Rais na viongozi wengine.

Binafsi naunga Mkono hoja ya Mhe.Mbati kwa sababu mbili tu.

1.Kiongozi hutakiwa kuongoza kwa Mfano, tulitegemea akianza Rais, watafuata na viongozi wengine wote, PM, VP, W. N/W, RC, DC, Wabunge hadi Madiwani.

Aidha, kuna mazoezi mengi hapo awali yalianzishwa na Rais na viongozi wengine Tuliona wakati wa kampeni mbalimbali kama vile UKIMWI na Malaria No More, Tuliona Utambulisho wa anuani za makazi, Tuliona kwenye BVR na NIDA.

Ikumbukwe kuwa, JPM alikuwa mastari wa mbele, kwa maana wa kwanza katika Zoezi la UHAKIKI WA SILAHA Mkoa wa Dar.

2. Kuonyesha uhalali wa zoezi husika, kuwa kama zoezi likianza na Viongozi mara nyingi huchukuliwa ni serious na ni zoezi halali lisilo la kibaguzi kwa baadhi ya kada tu.

Kwani Mpaka sasa kuna baadhi ya Mawaziri inasemekana wanatumia majina fake, so uhalali wa zoezi hili upo wapi?

My Take:
Zoezi lianze kusafisha Nyumbani kwanza ( Baraza la Mawaziri & vigogo)

Source: Gazeti la Mtanzania.
Mbatia anataka ku wajaribu viongozi wa ukawaMbowe na Mgombea urahisi Yule mwenye degree ya saana. Vs yake ya ningiriangi/ engineering
 
Ww kwa uelewa wako "Taaluma ni vyeti tu?" Una maanisha kikatiba mtu yeyote anaweza kuhgombea urais ? Naomba ufafanuzi wa hicho kifungu cha katiba.

Kwanza tofautisha kati ya vyeti na elimu. Halafu siasa ni itikadi; na itikadi ni imani. Siasa na vyeti vya kitaaluma wapi wapi? Kwa mfano, kama itikadi ya chama changu ni ujamaa, sihitaji kuwa na cheti au kiwango fulani cha elimu ya darasani (formal education) ili niamini katika ujamaa. Na kwa vile nina haki kikatiba ya kugombea nafasi ya uongozi wa kisiasa kwa tiketi ya chama changu, naweza kuchaguliwa na nikawa kiongozi. In this context, academic credentials are irrelevant.
 
Haya tena wameanza. kazi yao kujaribu kumkejeli jpm mkakati uliyokwisha kushindwa. huyu mbatia kujidai tu sijui anadhani jpm ni size yake. Anajipendekeza chadema hadi nccr mageuzi imekufa. Kwanza zoezi la kuhakiki vyeti sio la hiari kama yeye ni cheti feki asubiri hapohapo wakaguzi wanakuja. Aende huko akaimbishe nyimbo za tumwabudu mungu wetu kanisani kkkt. Hiyo ndio kazi labda anaweza.
Mbwembwe tu. Hoja yako ni ipi!
Mipasho.........,mipasho ......mh
 
Je zoezi hili linahusiana na nyongeza zA mishahara? Mana ishakuwa tabu ikiukwaji wa katiba kwa kivuli cha uhakiki .
 
Hao Wote ni the Most Bright Students and Politicians!
Mwigulu Amefanya Kazi B.O.T,Na Kisiasa Anaperform Vizuri Tu!
Tatizo la Wabongo Walioshindwa Maisha Huishia Kusifia Elimu Zao na Kujilinganisha na Wengine Wanaowahisi ni ****** na Bado Wakafanikiwa ili Wapate Kujisikia Vizuri!
Kama Maisha Yamekufanya Ndivyo Sivyo,Piga Kimya!
Kama issue ni kufanya kazi BoT hata kina Vick kamata wamefanya je elimu yao ikoje? Mafanikio ya mwigulu pindi anafanya kazi BoT ni zipi twambie, au hujui kaacha kazi BoT kwa tuhuma je hayo ndio mafanikio? Upande wa uwaziri kaonyesha mafanikio gani yaweke wazi tuyajue. Au wewe ni mke wake amekutuma kumtetea!
 
Back
Top Bottom