muhogomchungu
JF-Expert Member
- Jan 9, 2011
- 375
- 3
Nilisoma moja ya makala ya Mwanahalisi ya jana, mbasha asenga alijaribu kutetea sana dk slaa kuhusu hizi tuhuma za udini. hata mimi napingana na mtazamo wa wengi kama dk slaa ni mdini licha ya kuwa aliwahi kuwa kiongozi mkuu wa kanisa yaani katibu.
lkn siamini kama watanzania wakemewe eti wakae kimya na wasijadili swala.
Hoja ya Mbasha eti kwa kuwa dk slaa alikuw mbunge hakuna aliehoji haina mshiko, kwani mbunge anaongoza sehemu ya Bunge, hana mamlaka ya kutumikia taifa zima tofauti na rais, ndio maana hakuna mbunge aliwahi kungolewa kwa maandamano ya umma tofauti na rais.
sasa swala linapokuja rais wa nchi lazima amulikwe kama alivyomulikwa DK slaa. kwa hivyo mbasha usituzime mdomo, tauchie tumjadili kama anavyojadiliwa jk na udini lkn mbasa amebana kimya.
lkn siamini kama watanzania wakemewe eti wakae kimya na wasijadili swala.
Hoja ya Mbasha eti kwa kuwa dk slaa alikuw mbunge hakuna aliehoji haina mshiko, kwani mbunge anaongoza sehemu ya Bunge, hana mamlaka ya kutumikia taifa zima tofauti na rais, ndio maana hakuna mbunge aliwahi kungolewa kwa maandamano ya umma tofauti na rais.
sasa swala linapokuja rais wa nchi lazima amulikwe kama alivyomulikwa DK slaa. kwa hivyo mbasha usituzime mdomo, tauchie tumjadili kama anavyojadiliwa jk na udini lkn mbasa amebana kimya.