Utajua ujui
JF-Expert Member
- Aug 3, 2023
- 249
- 832
Habari.
Mbarikiwe wote mnaopendana na wake zenu.
Mbarikiwe wote mnaopendana na wake zenu.
Asante sanaHabari.
Mbarikiwe wote mnaopendana na wake zenu.
Kwa hyo unataka kusema hata hilo Moja Kuna waliooa wanalikosa?Ndoa si burudani wala lele mama.
Dogo kaoa..akiwa na uhakika wa kupata angalau bao moja kila siku🙂🙂
Matokeo yake anajuta,bora asingeoa.
Wanakusikia.... watakujibu......kama wakiwa wakweli🙂🙂🙂Kwa hyo unataka kusema hata hilo Moja Kuna waliooa wanalikosa?
Tatizo watu waningia kwenye ndoa wakiwa na matarajio makubwa sana . Ndoa ni status tu ,Ndoa si burudani wala lele mama.
Dogo kaoa..akiwa na uhakika wa kupata angalau bao moja kila siku🙂🙂
Matokeo yake anajuta,bora asingeoa.
Amen.Habari.
Mbarikiwe wote mnaopendana na wake zenu.
Kabisa...lakini hakuoaAmen.
JESUS IS LORD&SAVIOR
Maria Magdalena yule aliemfuta Yesu miguu kwa machozi na kumfuta miguu kwa kutumia nywele zake na kumpaka mafuta na kumpiga mabusu ya miguuni inasemekana kuna hidden story maana Maria Magdalena ndie wa kwanza pia kuona Jiwe kaburini limeviringishwa mbali na Mwili wa Yesu haupo.. kulikua na mahusiano ya Siri kati ya Yesu na Maria MagdalenaKabisa...lakini hakuoa
Maria Magdalena yule aliemfuta Yesu miguu kwa machozi na kumfuta miguu kwa kutumia nywele zake na kumpaka mafuta na kumpiga mabusu ya miguuni inasemekana kuna hidden story maana Maria Magdalena ndie wa kwanza pia kuona Jiwe kaburini limeviringishwa mbali na Mwili wa Yesu haupo.. kulikua na mahusiano ya Siri kati ya Yesu na Maria Magdalena
Nb: Maria Magdalena alikua kahaba kabla hajawa Mfuasi wa Yesu