ZeMarcopolo
Platinum Member
- May 11, 2008
- 14,017
- 7,220
nguzo zina ujazo tofauti,sawa urefu futi hizo je ujazo unataka upi? ndio maana nikasema tuwasiliane ili tueleweshane vizuri.na hii ni biashara ya muda mrefu hivyo wizi haupo kila kitu kimesajiliwa na risiti ya kupita nazo barabarani utapewa mkuu.
Mkuu, bila ya shaka hizi zitakuwa ni za urefu wa mita 9 na 11. Vipi kuhusu specifications za diameters(top diameter na bottom diameter)?
Si utaje bei za diameters zote. Au unataka umpatajie bei moja halafu akuulize na diameter nyingine!!! Actually nyinyi wafanyabiashara mnatakiwa kujiendesha kisasa na kuwa na website ambayo itatoa taarifa zote zitakazomsave mtu safari ya kuja kuulizia dukani au kupiga simu. SIku hizi mifoleni watu hawana muda wa kuja madukani kufanya window shopping.