BRO LEE
JF-Expert Member
- Dec 25, 2011
- 826
- 600
Habari wana JF. Naomba kuelimishwa m2 anaposema/lalamika kwamba mwenzie ni mbabe katika mapenzi/mahusiano yao anakuwa anamaanisha kitugani.
Niilimsikia dada mmoja akimweleza mwenzie kwa huzuni sana na akawa anasema anafikiria kuachana na huyo mchumba wake.
Nawasilisha.
Niilimsikia dada mmoja akimweleza mwenzie kwa huzuni sana na akawa anasema anafikiria kuachana na huyo mchumba wake.
Nawasilisha.