mwanamasala
JF-Expert Member
- Jun 20, 2009
- 248
- 12
Chuo kikuu chochote cha Ulaya MBA zake ni ghali sana.Nchini Uingereza hasa Lonson gharama ya tuition ni kama million 100 za Tz kwenye top MBA school hadi sh million 22 kwa mwaka kwenye chuo kikuu cha kawaida.
Kuna vyuo vidogo vidogo ambavyo vimepewa accreditation na University of Wales Institute ya Cardiff.Elimu ya hivi vyuo ni chini sana wazawa hawawezi kuzisoma MBA hizi.
Lakini Bongo mtu akija ana MBA toka Uingereza waajiri wanaamini sana.Ndio maana tunafeli kupata watu wanaoweza kubuni biashara,entrepreneurship na kucreate wealth.Sana sana mtu atakuwa meneja wa benki !
Hivyo ni mara mia mtu asomwe MBA UDSM au Mzumbe ingawa nasita kidogo kutokana na malecturer Mzumbe kuwa na fake Phds.Kama mtu una MBA ya hivi vyuo unaweza kujitetea!Ufisadi umtufanya tutafute kila aina ya elimu kujipandisha juu .
Kuna vyuo vidogo vidogo ambavyo vimepewa accreditation na University of Wales Institute ya Cardiff.Elimu ya hivi vyuo ni chini sana wazawa hawawezi kuzisoma MBA hizi.
Lakini Bongo mtu akija ana MBA toka Uingereza waajiri wanaamini sana.Ndio maana tunafeli kupata watu wanaoweza kubuni biashara,entrepreneurship na kucreate wealth.Sana sana mtu atakuwa meneja wa benki !
Hivyo ni mara mia mtu asomwe MBA UDSM au Mzumbe ingawa nasita kidogo kutokana na malecturer Mzumbe kuwa na fake Phds.Kama mtu una MBA ya hivi vyuo unaweza kujitetea!Ufisadi umtufanya tutafute kila aina ya elimu kujipandisha juu .