Mb. Vinzent Nyerere atoa mpya jimboni kwa Spika Makinda

Leo timu ya chadema imetua mafinga wamezungumza mambo mbalimbali kubwa zaidi ni ufiaadi unaofanywa kwenye msitu wa saohill ,kwa sasa viwanda vingi vidogo vidogo vimesimamisha uzalishaji kwa sababu mgao wa uvunaji wa magogo walio pewa ulikua mdogo sana kwa sababu sehemu kubwa ya mgao walipewa viongozi wa serekali mawaziri na wabunge na wao kwakua hawana viwanda wameuza migao Yao kwa wafanya biashara wenye uwezo kwa mfano Sirili Chami alipewa cbm za magogo 1800 na wao kuuza kila cbm 1 kwa 10000 kwa hesabu hiyo ameweza kujipatia tsh 18000000 bila hata kufika mafinga.
Baada ya mkutano chadema wakaanza kuuza card kila card 1 kwa sh 1500 zika gombewa kama karanga .
Moto ulio washwa hapa simchezo
 
Bigup Nyerere! Isiishie tú kwa spika hata mawaziri pia naomba wasiwe wabunge ili kuondoa conflics of interest kwani mimi mbunge wangu katuahidi kutuletea maendeleo kwa sababu tu yeye ni waziri, kwa maana hiyo wananchi ambao mbunge wao sio waziri hawawezi kupata maendeleo yoyote!
 
bara bara imetengenezwa baada ya mama wa makinda kufariki,..
wananchi wana taka barabara bora,kwanini wasimuombee afiwe na ndugu zake wengine ili
wawekewe rami?
watu hawajui kutumia nafasi kama hizi kabisa
 
M

Mbunge na Spika Makinda, aka Mama kiroborobo si kizazi cha akina Lema yakhe, kumbuka Mama kiroborobo ni ukoo wa kichief, usishangae kujitenga na watu wa kawaida. Jihabarishe historia ya familia yao mwanamageuzi.

Acha kudanganya watu. Ni uongo mkubwa kusema Makinda ni ukoo wa kichifu.

Nikufundishe: Katika jamii ya Vabena (Wabena) walikuwa na chifu mmoja [ Chifu Mbeyela] na sub-chifu Mbanga. Walikuwa na majumbe kadhaa akiwemo Gadau na Mwanyiha (Mwanyika)=>idadi kamili ya majumbe mpaka nitakaporudi kwenye nondo zangu. Katika hao majumbe jina la Makinda halipo. Ila baba yake Anne [Mzee Makinda] wanasema alikwishawahi kuwa msaidizi (tarishi) wa jumbe wa eneo la Yakobi, Kifanya na Igominyi kwa muda tu.

Kujitenga kwa huyu mama ni matokeo ya tabia yake ya ukaliukali na matatizo mengine ya kisaikolojia. Likiwepo la kujiona yeye ni bora kuwadharau watu. Ukikaa naye kwa muda mrefu ndipo utakapojua ni kwa namna gani hawezi kuchagua maneno. Vijana wa zamani wanasema dharau na ukali wake ni miongoni mwa vitu vilivyomfanya akakosa kuolewa japo ana watoto. Kiufupi hata baba yake alikuwa mtu wa miasira, mara kadhaa amekosakosa kuwaua wanafunzi wa shule msingi Mdete na Mpedzi [back 1980's] kwa gobole lake walipokuwa wakikata fito za wigo au kuokota mabohola (passion fruits) katika msitu wake.
Inatosha. Nisimzungumzie sana. Zaidi kawaulize watu wa Yakobi na wale wa Njombe majirani wa nyumba ya baba yake.
 
Kumbe hawa makunguru wanatuibia kiasi hicho, kitu kinachonikera zaidi nguzo wanakuuzia harafu nyumba za jirani wanaunganishwa hapo hapo tena kwa bei kama uliyotobolewa nayo au kwa rushwa,
ripoti ya rushwa ya TAKURUKU NI YA UONGO
namba moja ni wao TAKURUKU, POLISI, TANESCO, MAHAKAMA, MAWAZIRI (RICHMOND, RADA, DOWANS, NDEGE YA RAISI) NA HOSPITAL,
 
Jamani huyu mama makinda nikimuangalia sura lake napata hasira!! Sura baya ka nini!! Sijui mchawi huyu!!!

Personal attack is not allowed. Tujaribuni kukosoa utendaji wa mtu kuliko uumbwaji wake. Hujui kuwa hapo umemkosoa Mungu kwa uumbaji wake na sio Mama Makinda.

 
Kinachonikera ni huyu mama kutumia manywele feki,hivi hana mume wa kumpa adabu pia naogopa kukubali kuwa ameolewa maana mkorofi huyo......
 
issue ya kutumia miti kama ni njia ya kupitisha umeme ilishapitwa na wakati
sasa hivi nchi zilizo endelea zinatumia cement kutengeneza nguzo na hiyo hata ungepita moto wa namna gani hauwezi fanya lolote lile,
pia ni rahisi kutengeneza kwani hiyo bei ya nguzo moja inaweza tengeneza nguzo tatu

lakini kwa kuwa kuna watu ama viongozi wanafaidika na tenda ya kusambaza hiyo miti,hawawezi kukubali hilo
 
Kinachonikera ni huyu mama kutumia manywele feki,hivi hana mume wa kumpa adabu pia naogopa kukubali kuwa ameolewa maana mkorofi huyo......

Hajawahi kuolewa na hana mtoto ndio maana hana uchungu na watoto au watu wanaosumbuka kuzungukia mbali kwa sababu ya kufunga njia. Mwenye uchungu na familia na mwenye kuishi katika maisha ya familia huwa na hulka ya kujali maisha ya wanaomzunguka na kusaidiana kuondoa kero si kama yeye kuleta kero kwa majirani.
 
Acha kudanganya watu. Ni uongo mkubwa kusema Makinda ni ukoo wa kichifu.

Nikufundishe: Katika jamii ya Vabena (Wabena) walikuwa na chifu mmoja [ Chifu Mbeyela] na sub-chifu Mbanga. Walikuwa na majumbe kadhaa akiwemo Gadau na Mwanyiha (Mwanyika)=>idadi kamili ya majumbe mpaka nitakaporudi kwenye nondo zangu. Katika hao majumbe jina la Makinda halipo. Ila baba yake Anne [Mzee Makinda] wanasema alikwishawahi kuwa msaidizi (tarishi) wa jumbe wa eneo la Yakobi, Kifanya na Igominyi kwa muda tu.

Kujitenga kwa huyu mama ni matokeo ya tabia yake ya ukaliukali na matatizo mengine ya kisaikolojia. Likiwepo la kujiona yeye ni bora kuwadharau watu. Ukikaa naye kwa muda mrefu ndipo utakapojua ni kwa namna gani hawezi kuchagua maneno. Vijana wa zamani wanasema dharau na ukali wake ni miongoni mwa vitu vilivyomfanya akakosa kuolewa japo ana watoto. Kiufupi hata baba yake alikuwa mtu wa miasira, mara kadhaa amekosakosa kuwaua wanafunzi wa shule msingi Mdete na Mpedzi [back 1980's] kwa gobole lake walipokuwa wakikata fito za wigo au kuokota mabohola (passion fruits) katika msitu wake.
Inatosha. Nisimzungumzie sana. Zaidi kawaulize watu wa Yakobi na wale wa Njombe majirani wa nyumba ya baba yake.

Umetuhabarisha vizuri, maana aliyenipa hints za mwanzo nadhani alijikita kwenye huo utarishe wa baba yake ni kufikiria ndio alikuwa kwenye cheo cha sub-chief, kumbe tarishi wa ukusanyaji kodi na kushika wahalifu enzi za ukoloni. Nasikie enzi hizo hawa matarishi walikuwa wanaogopwa kama ukoma na walionekana vibaraka wa wakoloni. Kwa jinsi hiyo mtoto umleavyo ndivyo akuavyo. Kwani asivyojali maisha ya watu walio chini yake ndivyo mfumo wa miasha ya babake yalivyodekezwa na mfumo wa utawala wa divide and rule.
 
Hawa wanasiasa wachanga wana matatizo sana dogo amewatukana wahindi hapo bila kujua.
 
Ni jambo baya sana tanesco kuweka ukiritimba wa kuuza nguzo za umeme kwa bei ghali,misitu iliyopo njombe na mafinga inaweza kuzalisha nguzo za umeme kw tz yote kwa bei ambayo tungeweza kumudu.

Kwa Kifupi Nguzo za umeme ni ufisadi mwingine Merab ni mburushi anawauzia nguzo Tanesco Yeye ananunua kwa wakulima nguzo moja sh 80,000 baada ya kuifanyia treted anawauzia Tanesco shilingi laki saba mpaka nane ,ufisadi ulianzia Mbeya Tanesco mwanzoni walikuwa na shamba pale mbeya la nguzo za umeme na walizifanyia tretment wenyewe na kuwauzia wateja kwa bei ya kawaida,huyo jamaa akashilikiana na baadhi ya Vigogo wa Taesco na serikalini wakabinafsisha lile shamba kwake nae akaanza kuwauzia kwa bei walioitaka wao.hili ni moja ya matokeo ya ufisadi kfungwa kwa kiwanda cha kusindika majani Lupembe mwekezaji alienunua kiwanda na mashamba yake ya chai na miti ya kukaushia chai akasimamisha kiwanda cha chai lupembe na akaanza kuvuna miti na kuiuzia Tanesco,wananchi walipokuja juu uvunaji umesimamishwa ,kiwanda kimesimama wanaoumia na kuathilika ni wakulima wa chai lupembe Makinda yupo kashindwa kuwasaidia wamempata mbunge mfanyabiashara Jah People nae yuko kibiashara zaidi.
 
naona wiki hii ni ya bibi kiroboto, kwa aibu imembidi afungue njia, sasa kazalilishwa jimboni kwake. kazi kweli kweli.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom