Askari Kanzu JF-Expert Member Jan 7, 2011 4,598 1,233 Oct 25, 2011 #1 Ni katika kujaribu kufanya pushap jikoni!
Yericko Nyerere JF-Expert Member Dec 22, 2010 16,987 20,271 Oct 25, 2011 #2 hii ni maandalizi ya 6x6 hapo kidume legelege utajiju
Chimunguru JF-Expert Member May 3, 2009 10,678 4,350 Oct 25, 2011 #3 hahahahahahaah huyo na yeye mzembe
happiness win JF-Expert Member Aug 30, 2011 2,461 1,384 Oct 25, 2011 #4 tatizo la kukosa maeneo ya wazi.
V valid statement JF-Expert Member Sep 18, 2011 2,851 868 Oct 25, 2011 #6 akiteleza tu ! Katia hasara ya vyombo.
Gaijin JF-Expert Member Aug 21, 2007 11,812 5,286 Oct 25, 2011 #7 hilo si zowezi .. that is Planking gone bad
Dreamliner JF-Expert Member Jan 17, 2010 2,034 213 Oct 25, 2011 #8 Mpe pole zake... Siku nyingine atafanyia sebuleni.
LexAid JF-Expert Member Jul 5, 2011 1,931 772 Oct 25, 2011 #10 feis buku said: mmh! Duniani kuna mambo!! Click to expand... pombe noma!
babu M JF-Expert Member Mar 4, 2010 5,221 3,167 Oct 25, 2011 #11 Haya ni matatizo ya kuwa kitasa hata kulipa GYM. Kama ni push-ups siangefanya kwenye floor.
B babojga Member Oct 24, 2011 48 4 Oct 25, 2011 #12 Fanyia chumbani especially kwenye 6*6 hutaanguka hivyo!!!!
Lily Flower JF-Expert Member Oct 16, 2009 2,553 1,197 Oct 25, 2011 #14 "DONT TRY THIS AT HOME" faida kaipata.
K Kifuna JF-Expert Member Aug 7, 2008 442 117 Oct 26, 2011 #18 Askari Kanzu said: Ni katika kujaribu kufanya pushap jikoni! View attachment 39839 Click to expand... Kama hilo jiko lilikuwa la Moto basi atageuka kisusio!! Ashindwe!!!!
Askari Kanzu said: Ni katika kujaribu kufanya pushap jikoni! View attachment 39839 Click to expand... Kama hilo jiko lilikuwa la Moto basi atageuka kisusio!! Ashindwe!!!!