Mr Dudumizi
JF-Expert Member
- Sep 9, 2020
- 6,954
- 12,408
Na hakuna asiejua kuwa siasa za fitna, uong na majungu kutoka Chadema ndio zilizochangia Lowasa kuachwa na chama chake ili kukinusuru chama. Bila siasa za kinafiki na uongo leo hii pengine ndo angekuwa raisi wa awamu ya 5Hii hoja ni dhaifu!!
Hakuna asiyejua ni kwa nini Lowassa alilazimishwa kurudi CCM.