General Mangi
JF-Expert Member
- Dec 21, 2013
- 15,301
- 23,027
Hiyo muvi naweza ipata wapi mkuu?Mbona kuna video series ya biggest secrets finally revealed aka 'breaking the magician code' inaonyesha uongo/tricks za wana mazingaombwe waziwazi
Hiyo muvi naweza ipata wapi mkuu?Mbona kuna video series ya biggest secrets finally revealed aka 'breaking the magician code' inaonyesha uongo/tricks za wana mazingaombwe waziwazi
Kweli ww pimbi, tuko serius na mada, unaleta siasaNgoja nimpigie lowassa anieleze mbinu anazotumia.wait nakupa majibu
Pimbi mwenyewe.teh teh tehKweli ww pimbi, tuko serius na mada, unaleta siasa
Sasa wewe bujibuji hujaelezea ya sumbawanga mwishowe ilikuaje... Au walikugeuza chura?Niliona hawako productive, sasa nimewafunga, wanavuta mabehewa ya treni Gamboshi.
Hapa hakuna trick aiseeMkuu hapa mbona hawajaonesha trick behind? Jamaa amewezaje kupaa? Au kuna invisible strings zinamvuta?
Snuraz frogi izi jumping jumping frogSasa wewe bujibuji hujaelezea ya sumbawanga mwishowe ilikuaje... Au walikugeuza chura?
Hahahaha...!Kuna siku nilienda kufanya mazingaombwe kule Sumbawanga. Nilikuwa na uwezo wa kumgeuza binadamu kuwa panya kisha nikamrudisha tena na kuwa binadamu.
Basi nikaenda sokoni nikawakusanya watu, nikamgeuza jamaa kuwa panya.
Kulikuwa na mama mmoja pembeni akajigeuza na kuwa paka, kisha akammeza yule panya, na baada ya hapo akarudi kwenye umbo lake la ubinadamu.
Nilijuta kuzaliwa, sitaki kukuelezea kilichotokea baada ya hapo.
UKATUBU DHAMBI KESHO MZINZI WEWE AYA FANYA UJIANDAE KESHO JUMAPILIEnzi zile nasoma shule ya msingi kulikuwa na vijana waliokuwa wakija shule kwa ajili ya mazingombwe. Walikuwa wakifika shuleni mara kwa mara kwa ajili ya maonyesho hayo.
Walikuwa wakipewa kibali na mwl mkuu/mwl wa michezo pamoja na kupewa darasa la kufanyia mazingambwe yao kama ukumbi. Pia kulikuwa kiingilio ili kuweza kuingia ukumbini (darasani) kwa ajili ya kuangalia mazingaombwe hayo.
Ndani ya ukumbi, wanaofanyia mazingaombwe walikuwa wakifanya vituko mbalimbali ambavyo baada ya kuvikumbuka nikaamua kuleta uzi huu kwenye hili jamvi la chitchat ili tukumbushane. Nakumbuka:
Naombeni tukumbushane vituko vyilivyokuwa vikifanyika kwenye mazingaombwe
- Kuna siku walimuita mvulana mmoja wakampasua tumbo hadi utumbo ukawa unaonekana kwa nje, baadae wakaongea maneno fulani yule mtu akazinduka na hakuwa na kovu lolote lile
- Siku nyingine wilimuita mtoto aliyekuwa mdogo kuliko wote darasani wakamuweka ndani ya gunia lililokuwa tupu mara baada ya dakika kadhaa... pipi na biskut zikajaa kwenye lile gunia...
Vilevile nimejiuliza maswali yafuatayo:
Mtazamo wako ukoje katika haya?
- Nini kilikuwa kinasababisha tuone mtu aliyepasuliwa tumbo hana hata kovu eneo lililopasuliwa?
- Mazingaombwe bado yanafanyika mashuleni mpaka sasa?
- Je Wizara ya Elimu ilikuwa inakuridhia mazingaombwe kufanyika mashuleni?