Thanx alot Fidel180.Nawashukuru kwa kunipa moyo, nimeamini kuwa kumbe together we can move mountains here!...BBlessed!
PJ napenda kutoa shukrani zangu kwa kuniwakilisha na kuiwakilisha JF yote. Hakika umeonyesha moyo wa uzalendo. Nasi tunaahidi kufuata nyayo zako.
Si Utani, PJ umeonyesha utu wa kustahili kutunukiwa nishani ya UPENDO. Be blessed cousin. Nikija Arusha ntakutafuta, nadhani tunaweza chat mawili matatu pale Mrina baa huku tukikandamiza Serengeti na trupa.
Thanx alot Xpin...
Mi niliona kama vile ni kitu cha kawaida, but it has meant alot to the JF public...!
Karibu sana A-town, mi nipo kama kawa...tuwasiliane Mkuu!
I definetely will. Nawe ukikosea njia siku moja ukaja Dar usisite kunitafuta mimi na wapwa zangu, I am sure utapata kampani ambayo hutaisahau. Always pamoja.
hahaaa, kama kawaida.I definetely will. Nawe ukikosea njia siku moja ukaja Dar usisite kunitafuta mimi na wapwa zangu, I am sure utapata kampani ambayo hutaisahau. Always pamoja.
Binamu,PJ amefanya kitendo ambacho kimetugusa wote humu JF,nadhani tungefanya mpango wa kumpongeza zaidi,au unalionaje hilo?
Kweli mkuu tupo pamoja na sasa as JF tunataka tuget tugedha mbugani as JF memba karibu mpwa.