Mazayuni wa Israel wasalimu amri na kukubali masharti yote ya Hamas ya kusitisha mapigano baada ya kuchezea kichapo jana na juzi

Mazayuni wamechezea kichapo cha maana jana na juzi kutoka kwa Hamas, Hizbollah na Wayemeni kilichopelekea wao kukubali masharti yote ya Hamas ya kusimamisha mapigano.

Ikumbukwe kuwa mpaka juzi, Wayahudi walikuwa hawataki kabisa kusikiliza yeyote duniani na kusema hawasimamisha mapigano mpaka wawamalize Hamas. Vijana wa Hamas kupitia msemaji wao Abou Obeidah wakasema "sisi ni mashaheed, furaha yetu ni kufa tukipigania ardhi yetu", hatuendi kokote na kama mnaweza njooni mtumalize.

Wayahudi wakawa wanaingia kichwa kichwa, kila wakiingia wanakuta vifaru vyao walivyovitegemea vinamalizwa, jana wakabadili na kuanza kuingia Ghaza na magari ya deraya mabayo yalikuwa ni siri na hawajawahi kuyatumia popote kabla, wakisema kuwa hayo hayapigiki. Kinyume na matarajio yao, ile kuingia nayo yakaanza kutandikwa, ikabidi waite msaada, zikaja helicopter mbili kuwasaidia, zenyewe zikarusha makombora na kuita ambulance yao ipakie na kusaidia majeruhi wao, walkaona na wao wanshambuliwa wakakimbia na helicopter zao. Jionee Clip hiyo chini.

Baada ya vichapo hivyo ikabidi watie akili na wenyewe kukubali masharti ya Hamas, baada ya muda si mrefu mtaona mapigano yanasimama kimya kimya kwani mazayuni hawawezi kutangaza kwa aibu.

Habari tutazipata kutokeaa vyanzo vya habari vywa waandishi huru (freelancers)vidogo vidogo :

Baada ya muda mchache nawwashushia clips za mkong'oto waliochezea jana na juzi.

Video za ushahidi wa niliyoyaandika zipo post zinazofata, tembea kwenye uzi utaziona.
Rubbish
 
Iv hizi habari huwa mnazipata media zipi, kwani mpaka sasa Gaza ipo chini ya Israel. Au kuna Gaza nyingine? Inawezekana wengine tupo Dunia nyingine na hatujitambui
Wanareport wakiwa Gaza ya Kiembe samaki mkuu,wala wasikupe shida,ndiyo maana wengine tunaishia kupress emoji ya kicheko kwenye comments zao.
 
Hii dini ya beki tatu Hajiri inawapeleka wengi jehanamu 🤣😂😁😆 heri wampe Yesu maisha yao vinginevyo wataenda ishi na baba yao Shetan na mtume mudi.
Takbirrrr 😀😀😀😀. Mudy kawaingiza chaka wavaa pedo na kobazi.
 
ukweli ni kwamba wanaolia usku na mchana hii vita iishe ni HAMAS, jumuiya ya kiarabu na jumuia za kiislam ikiwemo kina faiza fox, israel anaenjoy hii vita maana aliwatamani hamas mda mrefu mpaka WALIPOYATIMBA october 7, juzi mababu wa kiarabu waliandamana mpaka china kuiomba serikali ya china iwabembeleze ISRAEL isitishe mapigano, kabla ya hapo walienda mpaka urusi kuomba msaada wajukuu zao wanaisha, kila siku huko UN wawakilishi wa PALESTINA wanalia machozi kuomba Israel ipunguze kuwapelekea moto, mpaka raisi wa palestina analia kuomba POO... ILA mlivyo kama mazombi ,mnadanganyana eti leo israel ndio anaomba vita iishe, acheni bangi nyie kina faiza.
kinachomfanya ISRAEL akubali majadiliano ya CEASE FIRE tena ni temporary, ni CEASE FIRE sio END WAR, sababu pekee itayomfanya akubaliane usitishwaje mdogo wa mapigano ni kama wananchi wake wataachiwa, na hilo ni kutokana na maombi ya wananchi wa israel hasa wenye ndugu mateka, ambao kila siku wanaandamaana kuiomba serikali ikubali maongezi na hamas ili ndugu zao waachiwe, lakini pia israel ili ilinde urafiki wake na marekani, inatakiwa ioneshe utayari wa mazungumzo ili isichafuke kimataifa na kuitwa mhalifu wa kivita, hizo ndo sababu pekee zinazomfanya NETANYAHU afikirie DEAL na HAMAS, lakini sio eti "kipigo" hamas kwa sasa wametepeta, wanaishi mapangoni, gaza yote anayeamua cha kuingia na cha kutoka ni israel.. unaposikia misaada inashindwa kuingia gaza ujue alitekataa ni israel na sio hamas.
kwahyo kuanzia sasa nyuzi za kusema israel kaomba poo ni BRAIN WASHING msiingie huo mtego...fatilieni vyombo mbalimbali vyaa habari kujiridhisha Ni kina nani hasa wanaoomba vita iishe.
 
Ila propaganda bhana,

Sasa wanasitisha mapigano gani wakati IDF wanasema washaichukua GAZA na Hamas wanakimbia.

Yaani Nina 90% ya ushindi halafu nikubali Truce\Pause .Ili iweje??

My take:
Mapambano ni makali sana
 
ukweli ni kwamba wanaolia usku na mchana hii vita iishe ni HAMAS, jumuiya ya kiarabu na jumuia za kiislam ikiwemo kina faiza fox, israel anaenjoy hii vita maana aliwatamani hamas mda mrefu mpaka WALIPOYATIMBA october 7, juzi mababu wa kiarabu waliandamana mpaka china kuiomba serikali ya china iwabembeleze ISRAEL isitishe mapigano, kabla ya hapo walienda mpaka urusi kuomba msaada wajukuu zao wanaisha, kila siku huko UN wawakilishi wa PALESTINA wanalia machozi kuomba Israel ipunguze kuwapelekea moto, mpaka raisi wa palestina analia kuomba POO... ILA mlivyo kama mazombi ,mnadanganyana eti leo israel ndio anaomba vita iishe, acheni bangi nyie kina faiza.
kinachomfanya ISRAEL akubali majadiliano ya CEASE FIRE tena ni temporary, ni CEASE FIRE sio END WAR, sababu pekee itayomfanya akubaliane usitishwaje mdogo wa mapigano ni kama wananchi wake wataachiwa, na hilo ni kutokana na maombi ya wananchi wa israel hasa wenye ndugu mateka, ambao kila siku wanaandamaana kuiomba serikali ikubali maongezi na hamas ili ndugu zao waachiwe, lakini pia israel ili ilinde urafiki wake na marekani, inatakiwa ioneshe utayari wa mazungumzo ili isichafuke kimataifa na kuitwa mhalifu wa kivita, hizo ndo sababu pekee zinazomfanya NETANYAHU afikirie DEAL na HAMAS, lakini sio eti "kipigo" hamas kwa sasa wametepeta, wanaishi mapangoni, gaza yote anayeamua cha kuingia na cha kutoka ni israel.. unaposikia misaada inashindwa kuingia gaza ujue alitekataa ni israel na sio hamas.
kwahyo kuanzia sasa nyuzi za kusema israel kaomba poo ni BRAIN WASHING msiingie huo mtego...fatilieni vyombo mbalimbali vyaa habari kujiridhisha Ni kina nani hasa wanaoomba vita iishe.
HAMAS wangekuwa wanataka vita iishe wangewaachia mateka, kama israel wanatawala gaza, inakuwaje wameshindwa kujua mahali mateka walipo?.
 
ukweli ni kwamba wanaolia usku na mchana hii vita iishe ni HAMAS, jumuiya ya kiarabu na jumuia za kiislam ikiwemo kina faiza fox, israel anaenjoy hii vita maana aliwatamani hamas mda mrefu mpaka WALIPOYATIMBA october 7, juzi mababu wa kiarabu waliandamana mpaka china kuiomba serikali ya china iwabembeleze ISRAEL isitishe mapigano, kabla ya hapo walienda mpaka urusi kuomba msaada wajukuu zao wanaisha, kila siku huko UN wawakilishi wa PALESTINA wanalia machozi kuomba Israel ipunguze kuwapelekea moto, mpaka raisi wa palestina analia kuomba POO... ILA mlivyo kama mazombi ,mnadanganyana eti leo israel ndio anaomba vita iishe, acheni bangi nyie kina faiza.
kinachomfanya ISRAEL akubali majadiliano ya CEASE FIRE tena ni temporary, ni CEASE FIRE sio END WAR, sababu pekee itayomfanya akubaliane usitishwaje mdogo wa mapigano ni kama wananchi wake wataachiwa, na hilo ni kutokana na maombi ya wananchi wa israel hasa wenye ndugu mateka, ambao kila siku wanaandamaana kuiomba serikali ikubali maongezi na hamas ili ndugu zao waachiwe, lakini pia israel ili ilinde urafiki wake na marekani, inatakiwa ioneshe utayari wa mazungumzo ili isichafuke kimataifa na kuitwa mhalifu wa kivita, hizo ndo sababu pekee zinazomfanya NETANYAHU afikirie DEAL na HAMAS, lakini sio eti "kipigo" hamas kwa sasa wametepeta, wanaishi mapangoni, gaza yote anayeamua cha kuingia na cha kutoka ni israel.. unaposikia misaada inashindwa kuingia gaza ujue alitekataa ni israel na sio hamas.
kwahyo kuanzia sasa nyuzi za kusema israel kaomba poo ni BRAIN WASHING msiingie huo mtego...fatilieni vyombo mbalimbali vyaa habari kujiridhisha Ni kina nani hasa wanaoomba vita iishe.
HAMAS wangekuwa wanataka vita iishe wangewaachia mateka, kama israel wanatawala gaza, inakuwaje wameshindwa kujua mahali mateka walipo?.
 
ukweli ni kwamba wanaolia usku na mchana hii vita iishe ni HAMAS, jumuiya ya kiarabu na jumuia za kiislam ikiwemo kina faiza fox, israel anaenjoy hii vita maana aliwatamani hamas mda mrefu mpaka WALIPOYATIMBA october 7, juzi mababu wa kiarabu waliandamana mpaka china kuiomba serikali ya china iwabembeleze ISRAEL isitishe mapigano, kabla ya hapo walienda mpaka urusi kuomba msaada wajukuu zao wanaisha, kila siku huko UN wawakilishi wa PALESTINA wanalia machozi kuomba Israel ipunguze kuwapelekea moto, mpaka raisi wa palestina analia kuomba POO... ILA mlivyo kama mazombi ,mnadanganyana eti leo israel ndio anaomba vita iishe, acheni bangi nyie kina faiza.
kinachomfanya ISRAEL akubali majadiliano ya CEASE FIRE tena ni temporary, ni CEASE FIRE sio END WAR, sababu pekee itayomfanya akubaliane usitishwaje mdogo wa mapigano ni kama wananchi wake wataachiwa, na hilo ni kutokana na maombi ya wananchi wa israel hasa wenye ndugu mateka, ambao kila siku wanaandamaana kuiomba serikali ikubali maongezi na hamas ili ndugu zao waachiwe, lakini pia israel ili ilinde urafiki wake na marekani, inatakiwa ioneshe utayari wa mazungumzo ili isichafuke kimataifa na kuitwa mhalifu wa kivita, hizo ndo sababu pekee zinazomfanya NETANYAHU afikirie DEAL na HAMAS, lakini sio eti "kipigo" hamas kwa sasa wametepeta, wanaishi mapangoni, gaza yote anayeamua cha kuingia na cha kutoka ni israel.. unaposikia misaada inashindwa kuingia gaza ujue alitekataa ni israel na sio hamas.
kwahyo kuanzia sasa nyuzi za kusema israel kaomba poo ni BRAIN WASHING msiingie huo mtego...fatilieni vyombo mbalimbali vyaa habari kujiridhisha Ni kina nani hasa wanaoomba vita iishe.
Kwisha kwa hii vita ni mpaka mipaka iliyowekwa na UMoja wa Mataifa kabla ya 1973 iheshimiwe, kinyume cha hapo kutakuwa na kusitishwa kwa mapigano lakini vita haitoisha.

Kichapo wanachoshushiwa mazayunni na silaha za mitaani, sasa hivi wanaikimbia nchi:

 
Mazayuni wamechezea kichapo cha maana jana na juzi kutoka kwa Hamas, Hizbollah na Wayemeni kilichopelekea wao kukubali masharti yote ya Hamas ya kusimamisha mapigano.

Ikumbukwe kuwa mpaka juzi, Wayahudi walikuwa hawataki kabisa kusikiliza yeyote duniani na kusema hawasimamisha mapigano mpaka wawamalize Hamas. Vijana wa Hamas kupitia msemaji wao Abou Obeidah wakasema "sisi ni mashaheed, furaha yetu ni kufa tukipigania ardhi yetu", hatuendi kokote na kama mnaweza njooni mtumalize.

Wayahudi wakawa wanaingia kichwa kichwa, kila wakiingia wanakuta vifaru vyao walivyovitegemea vinamalizwa, jana wakabadili na kuanza kuingia Ghaza na magari ya deraya mabayo yalikuwa ni siri na hawajawahi kuyatumia popote kabla, wakisema kuwa hayo hayapigiki. Kinyume na matarajio yao, ile kuingia nayo yakaanza kutandikwa, ikabidi waite msaada, zikaja helicopter mbili kuwasaidia, zenyewe zikarusha makombora na kuita ambulance yao ipakie na kusaidia majeruhi wao, walkaona na wao wanshambuliwa wakakimbia na helicopter zao. Jionee Clip hiyo chini.

Baada ya vichapo hivyo ikabidi watie akili na wenyewe kukubali masharti ya Hamas, baada ya muda si mrefu mtaona mapigano yanasimama kimya kimya kwani mazayuni hawawezi kutangaza kwa aibu.

Habari tutazipata kutokeaa vyanzo vya habari vywa waandishi huru (freelancers)vidogo vidogo :

Baada ya muda mchache nawwashushia clips za mkong'oto waliochezea jana na juzi.

Video za ushahidi wa niliyoyaandika zipo post zinazofata, tembea kwenye uzi utaziona.
Mzayuni kawasikiliza sasa Mmepata tena kilanga cha kuinua pua zenu!!

Mkamshukuru Biden
 
Back
Top Bottom