Mazayuni wa Israel wasalimu amri na kukubali masharti yote ya Hamas ya kusitisha mapigano baada ya kuchezea kichapo jana na juzi

View attachment 2820332

Hii sina uhakika kama ni kweli

Many Israeli journalists write that the number of dead israeli soldiers is no less than 2,985 soldiers, and the number of wounded is 11,600 soldiers. That is what the spokesman of Hamas also said, that the truth will soon reach the Israeli public. The government of Netanyahu is trying at all costs to hide the real numbers of losses in Gaza because the population in Israel is already boiling and constantly holding large protests. Many of these families have not yet received the news of the fate of their relatives who are attacking Gaza. Judging by that Hamas has released many videos of the destruction of Israeli military equipment, these numbers are considered real. The offensive in Gaza is currently at a standstill. The Israeli army has not been able to move for several days, and in some places in the north it has even begun to retreat. In the north of the country, at the beginning of the conflict in the first 3 weeks, Hezbollah had 60 casualties. Then Hezbollah massively attacked the observation and military radar sites. Since then, Hezbollah's losses have been reduced to almost 0. On the other hand, Israel continues to lose soldiers there. As I already wrote about this conflict, it will be divided into 3 main phases. The first phase is in the hands of Hamas, to inflict as much damage as possible on the Israeli army before the start of the second phase, the Hezbollah offensive. The conflict will last for many years because the goal is to gradually and slowly crush Israel.
Though Netanyahu won’t admit it, ISRAELI journalists write that the over 2,985 ISRAELI soldiers have DIED since October 7th, and 11,600+ have been injured.Israel has walked into a trap.
 
Ila ww gaidi wa kike umezidisha uongo. Wenzako magaidi wa kiume wakifa kwaajili ya dini wakienda huko wanapata bikra 72 je ww ukifa
Kwaajili ya ujinga wako utapata nini.
Yeye nae ana pata mabwana mashababi 72 yenye misuli iliyo tukuka kisha ana tembezewa mkong'oto kama ule anao pewaga Mia Khalifa kwenye zile group some
 
😁😁😁we bibi kua na uelewa hii video unaona kbs ya kutengenezwa tu afu unadanganya
 
Hii clip ya chini, kutokea "Al Jazeera Arabic" inaonesha magari ya siri ya deraya ya mazayuni, waliyotamba kuwa hayapigiki, yakichezea kichapo mpaka kuita helicoper ziwasaidie:

View attachment 2820326
KHAAA UYU BIBI NI MWEHU EEEH
YAANI VIDEO NI CGI ndo una sema ushahidi 😂😂😂😂😂😂
vingine muwe mna wauliza hata wajuu weku akina Alwaz Ritz green rajab wakusaidie kutofautisha Real combat na hizo CGI
🚮🚮🚮🚮
 
Mazayuni wamechezea kichapo cha maana jana na juzi kutoka kwa Hamas, Hizbollah na Wayemeni kilichopelekea wao kukubali masharti yote ya Hamas ya kusimamisha mapigano.

Ikumbukwe kuwa mpaka juzi, Wayahudi walikuwa hawataki kabisa kusikiliza yeyote duniani na kusema hawasimamisha mapigano mpaka wawamalize Hamas. Vijana wa Hamas kupitia msemaji wao Abou Obeidah wakasema "sisi ni mashaheed, furaha yetu ni kufa tukipigania ardhi yetu", hatuendi kokote na kama mnaweza njooni mtumalize.

Wayahudi wakawa wanaingia kichwa kichwa, kila wakiingia wanakuta vifaru vyao walivyovitegemea vinamalizwa, jana wakabadili na kuanza kuingia Ghaza na magari ya deraya mabayo yalikuwa ni siri na hawajawahi kuyatumia popote kabla, wakisema kuwa hayo hayapigiki. Kinyume na matarajio yao, ile kuingia nayo yakaanza kutandikwa, ikabidi waite msaada, zikaja helicopter mbili kuwasaidia, zenyewe zikarusha makombora na kuita ambulance yao ipakie na kusaidia majeruhi wao, walkaona na wao wanshambuliwa wakakimbia na helicopter zao. Jionee Clip hiyo chini.

Baada ya vichapo hivyo ikabidi watie akili na wenyewe kukubali masharti ya Hamas, baada ya muda si mrefu mtaona mapigano yanasimama kimya kimya kwani mazayuni hawawezi kutangaza kwa aibu.

Habari tutazipata kutokeaa vyanzo vya habari vywa waandishi huru (greelancers)vidogo vidogo :

Baada ya muda mchache nawwashushia clips za mkong'oto waliochezea jana na juzi.

Video za ushahidi wa niliyoyaandika zipo post zinazofata, tembea kwenye uzi utaziona.
Huyo Abou Obeida mara ya mwisho umesikia sauti yake lini?
 
Tusisikie tena unabweka kwamba mazayuni yanawaonea, sio unaleta propaganda then mnaanza kulia, sisi tunachojua vita itasimamishwa kupisha misaada kuingia huko gaza na si vinginevyo mpaka magaidi muishe.
Hii vita haijawahi kusimama toka 1948, inasitishwa kwa muda tu.

Kumbuka hilo.
 
Mazayuni wamechezea kichapo cha maana jana na juzi kutoka kwa Hamas, Hizbollah na Wayemeni kilichopelekea wao kukubali masharti yote ya Hamas ya kusimamisha mapigano.

Ikumbukwe kuwa mpaka juzi, Wayahudi walikuwa hawataki kabisa kusikiliza yeyote duniani na kusema hawasimamisha mapigano mpaka wawamalize Hamas. Vijana wa Hamas kupitia msemaji wao Abou Obeidah wakasema "sisi ni mashaheed, furaha yetu ni kufa tukipigania ardhi yetu", hatuendi kokote na kama mnaweza njooni mtumalize.

Wayahudi wakawa wanaingia kichwa kichwa, kila wakiingia wanakuta vifaru vyao walivyovitegemea vinamalizwa, jana wakabadili na kuanza kuingia Ghaza na magari ya deraya mabayo yalikuwa ni siri na hawajawahi kuyatumia popote kabla, wakisema kuwa hayo hayapigiki. Kinyume na matarajio yao, ile kuingia nayo yakaanza kutandikwa, ikabidi waite msaada, zikaja helicopter mbili kuwasaidia, zenyewe zikarusha makombora na kuita ambulance yao ipakie na kusaidia majeruhi wao, walkaona na wao wanshambuliwa wakakimbia na helicopter zao. Jionee Clip hiyo chini.

Baada ya vichapo hivyo ikabidi watie akili na wenyewe kukubali masharti ya Hamas, baada ya muda si mrefu mtaona mapigano yanasimama kimya kimya kwani mazayuni hawawezi kutangaza kwa aibu.

Habari tutazipata kutokeaa vyanzo vya habari vywa waandishi huru (freelancers)vidogo vidogo :

Baada ya muda mchache nawwashushia clips za mkong'oto waliochezea jana na juzi.

Video za ushahidi wa niliyoyaandika zipo post zinazofata, tembea kwenye uzi utaziona.
Siungi mkono kabisa unyama wa Israel kuua watu zaidi ya 11,000 huko Gaza, wengi wao wakiwa watoto na wanawake.
Ila kwamba Israel kachezea kichapo hiyo ni propaganda na hata clip uliyoweka ni computer generated graphics.

Cha kushangaza waarabu wenzao na Wapalestina wamekaa doro huku mwenzao akila kisago.
Nawasifu Yemen ingalau wameonyesha ujasiri.
 
KHAAA UYU BIBI NI MWEHU EEEH
YAANI VIDEO NI CGI ndo una sema ushahidi 😂😂😂😂😂😂
vingine muwe mna wauliza hata wajuu weku akina Alwaz Ritz green rajab wakusaidie kutofautisha Real combat na hizo CGI
🚮🚮🚮🚮
Wewe ndiyo mwehu, waandishi wa Al jazeera wameuliwa huko, sasa wanapata habari kutoka kwa freelancers wao wanacheza na graphics.

Hii dunia siyo ya wajinga wajinga.
 
Siungi mkono kabisa unyama wa Israel kuua watu zaidi ya 11,000 huko Gaza, wengi wao wakiwa watoto na wanawake.
Ila kwamba Israel kacezea kichapo hiyo ninpropaganda na hata clip uliyoweka ni computer generated graphics.

Cha kushangaza waarabu wenzao na Wapalestina wamekaa doro huku mwenzao akila kisago.
Nawasifu Yemen ingalau wameonyesha ujasiri.
Huelewi kinachoendelea, unafikiri pesa hao wapalestina wanazitowa wapi na wao wapo kambi ya mateso miaka yote?
 
Iv hizi habari huwa mnazipata media zipi, kwani mpaka sasa Gaza ipo chini ya Israel. Au kuna Gaza nyingine? Inawezekana wengine tupo Dunia nyingine na hatujitambui
 
Back
Top Bottom