big galacha
Member
- Jun 1, 2011
- 27
- 2
Habari zenu wanajamvi!
Naomba msaada wenu wa mawazo katika hili!
Nina GF wangu yuko Arusha me nko Mwanza, huyo binti 2likuwa 2naelewana sana na ofcourse alikuwa anaonyesha kunipenda na pia kunijali lakin kulikuwa na tatizo kuwa mara nyingi nikimpigia nakuta simu iko busy na nilivomuuliza akaniambia ni baba yake ila baada ya kumbana vizuri akaniambia kuna jamaa anamsuanbua ila ye hamtaki me nikakubali japo kwa shngo upande lakin kuanzia hapo amekuwa hana tym na me yani hata kuwasiliana ni mpaka me nimtafute na nisipomtafuta hata wiki ndo hatuwasilian wiki tofauti na kabla ya kumuuliza ambapo alikuwa ananipigia co chin ya mara tano!
Je ni vibaya kumuuliza mtu ki2 ambacho una wasiwasi nacho?
Msaada pliz katika hali hii nifanyaje?
Naomba msaada wenu wa mawazo katika hili!
Nina GF wangu yuko Arusha me nko Mwanza, huyo binti 2likuwa 2naelewana sana na ofcourse alikuwa anaonyesha kunipenda na pia kunijali lakin kulikuwa na tatizo kuwa mara nyingi nikimpigia nakuta simu iko busy na nilivomuuliza akaniambia ni baba yake ila baada ya kumbana vizuri akaniambia kuna jamaa anamsuanbua ila ye hamtaki me nikakubali japo kwa shngo upande lakin kuanzia hapo amekuwa hana tym na me yani hata kuwasiliana ni mpaka me nimtafute na nisipomtafuta hata wiki ndo hatuwasilian wiki tofauti na kabla ya kumuuliza ambapo alikuwa ananipigia co chin ya mara tano!
Je ni vibaya kumuuliza mtu ki2 ambacho una wasiwasi nacho?
Msaada pliz katika hali hii nifanyaje?