okonkwo jr
JF-Expert Member
- Jun 14, 2015
- 2,419
- 1,737
Ccm tumejipanga,wapinzani wataisoma namba,ccm ni ile ile,ooh ni ile ile.magu amewageuka na kuanza kuwasomesha namba ccm wenzake,go-go-,go on magufuli
Hata Sioyi alikuwa mwanaCCMCcm tumejipanga,wapinzani wataisoma namba,ccm ni ile ile,ooh ni ile ile.magu amewageuka na kuanza kuwasomesha namba ccm wenzake,go-go-,go on magufuli
Hujielewi wewe ungekua China ungenyongwa!!Wanabodi,
Nimewahi kuzungumzia baadhi ya kauli za rais wetu Mhe. Dr. John Pombe Magufuli kuwa ni kauli za vitisho, kibabe na kidikiteta, ambapo kauli ya leo ni hii ya kuwatisha baadhi ya mawaziri na makatibu watakaosika kulalamikia fedha za ndogo za OC (other charges) zinazopelekwa kwenye wizara zao ni ndogo na hazitoshi!, amewaambia wale wotewanaoona fedha wanazopewa ni ndogo na haziwatoshi, waache kazi!, amesema kuna watu wanalalamika!, anasema ametuma 'watu' wawarekodi walalamika hao, akipata tuu ushahidi, kuwa ni kweli wanalalamika, then atawatimua kazi!.
Hili limekaaje?!. Hii sio kauli ya vitisho, kuwa watendaji hawa wakuu?!, yaani kiasi chochote watakachopewa na serikali, no matter ni kidogo kiasi gani, hawaruhusiwi kucomment chochote bali wapokee na kunyamaza kimya!.
Huku si ni kuwafunga midomo mawaziri na makatibu wakuu wao?!, kitendo cha rais kesema amewatumia 'watu' wawarekodi, ni uthibitishoa usiotia shaka kuwa freedom of "expression is at crossroad!". Hii inaitwa suppressing opinion za mawaziri, makatibu wakuu na watendaji wakuu, ambazo ndizo hatua za awali za viongozi wote madikiteta duniani, hutoa kauli za kuwafanya waogopwe!. Ukiona mwenzako ananyolewa, wewe anza kutia maji tia maji, stage ya pili haiwezi kuwa ni kwenye media?!.
Tanzania yetu hii kusema ukweli madudu yalizidi, kiasi kwamba tukafika mahali nchi yetu ilihitaji kiongozi mwenye traits za udikiteta ili mambo yaende!. Mungu kasikia kilio cha Watanzania, katupatia rais Dr. John Pombe Magufuli, ambaye ni benevolent dictator, Watanzania tupewe nini tena?!.
Pasco
pasco alifikiri atapewa nafasi ya greyson msigwa pale ikulu sababu ni msukuma mwenzakeSijasoma mpaka mwisho makala ya Pasco, ila kidogo nilichosoma nimeona kama kinalenga kumshutumu , kwa namna moja ama nyingine, mh jpm kwamba ni dikteta mbaya
Pass huyu huyu, amekuwa siku zote akisinzia magufuli kwamba ni dikteta mzuri, benevolent dikteta, tena kwa msisitizo
Ni kipi kilichomsibu mpaka kutengua kauli yake mapema namna hii, je ni Hilo la OC peke yake, au ana Lake chini ya kapeti
Magu ameshashindwa kama wenzake waliomtangulia walivyoshindwa.Taifa la watu milioni 50 leo linaendeshwa na akili za mtu mmoja
na wasio ridhika hawatakiwi hata kusema tu
Ndo maana wenzetu nchi zilizoendelea walishaliona hili
hatari za kuendeshwa na mtu mmoja
wakaweka mfumo wa kuhakikisha mawazo ya mtu mmoja peke yake hayaendeshi nchi
Sijasoma mpaka mwisho makala ya Pasco, ila kidogo nilichosoma nimeona kama kinalenga kumshutumu , kwa namna moja ama nyingine, mh jpm kwamba ni dikteta mbaya
Pass huyu huyu, amekuwa siku zote akisinzia magufuli kwamba ni dikteta mzuri, benevolent dikteta, tena kwa msisitizo
Ni kipi kilichomsibu mpaka kutengua kauli yake mapema namna hii, je ni Hilo la OC peke yake, au ana Lake chini ya kapeti
tatzo kubwa la pasco anataka kutufanya wote tumesoma art, na hakuna mchumi au mwanamahesabu,Ukiisoma makala ya Pasco kwa haraka huwezi kupata ujumbe kusudiwa.Nice article!
Magu ameshashindwa kama wenzake waliomtangulia walivyoshindwa.
Kiongozi ukishakuwa na madaraka mkubwa sana inafika mahali nchi inasisima
Kwa sababu kila kitu kutakuwa kinamsubiri mtu mmoja kufanya maamuzi.
Magu ameshashindwa kama wenzake waliomtangulia walivyoshindwa.
Kiongozi ukishakuwa na madaraka mkubwa sana inafika mahali nchi inasisima
Kwa sababu kila kitu kutakuwa kinamsubiri mtu mmoja kufanya maamuzi.
CCM hawadhubuti kwani hayo madaraka ya Rais ndo yanawafanya wawepo kwenye ulingo wa siasa mpaka leo, na magufuli an alijua vizuri maana imemsaidia kuingia madarakani.Angekuwa mjanja angejipunguzia madaraka haraka
badala ya kugombana na wakuu wa mikoa unaweka magavana wananchi wanawachagua na kuwatimua wenyewe
Yote haya yanadhirisha kuwa hakujiandaa kuwa Rais...! Hana jinsi ni lazima aegemee kwenye kupigiwa makofi...hakujua CCM imetufikisha wapi.Cha kufuruhisha wanaisoma namba ..kulia na kushoto!acha majungu