Ni vyema mawaziri mtende Kazi zenu kwa umakini,,na sio kila kitu kumnukuu Rais.
Sasa hivi kila waziri akiongea lazima utasikia maneno " Rais alivyosema/anavyotaka."
Kuweni wabunifu kwenye wizara zenu na si kusubiri na kudandia hoja za Rais.
Msizani kutamkatamka neno rais ndiyo mtaonekana watendaji wazuri.
Adi sasa Ris kwa nafasi yake ameshaperfom >80%,,,lakini sijaona waziri ata mmoja amekifikisha japo 40% kwenye ufanisi wa majukumu yake.
Sasa hivi kila waziri akiongea lazima utasikia maneno " Rais alivyosema/anavyotaka."
Kuweni wabunifu kwenye wizara zenu na si kusubiri na kudandia hoja za Rais.
Msizani kutamkatamka neno rais ndiyo mtaonekana watendaji wazuri.
Adi sasa Ris kwa nafasi yake ameshaperfom >80%,,,lakini sijaona waziri ata mmoja amekifikisha japo 40% kwenye ufanisi wa majukumu yake.