Jamani wana bodi huu ni mwezi wa pili nimekuwa nikijaribu kuwasiliana na wizara husika lakini bila mafanikio. Labda nina namba za simu , fax na email address za zamani, lakini katika website yao contact details zao ni kama ifuatavyo,
Ministry Of Natural Resouces ana Tourism
Box 9372
Dar es salaam
255-222-111061-4
fax 255-222-113082
mail ni ps@mnrt.go.tz
Nimejaribu namba za simu zote lakini naambiwa zimesitishwa kwa muda, fax haifanyi kazi, nimetuma mail mara nane na nimeandika barua mbili attn PS lakini hakuna majibu.
Tafadhali nilikuwa naomba msaada hapa jamvini kama kuna mtu anaweza kunisaidia jinsi ya kwasiliana na wizara hii kwani ni muhimu tafadhali.
Ministry Of Natural Resouces ana Tourism
Box 9372
Dar es salaam
255-222-111061-4
fax 255-222-113082
mail ni ps@mnrt.go.tz
Nimejaribu namba za simu zote lakini naambiwa zimesitishwa kwa muda, fax haifanyi kazi, nimetuma mail mara nane na nimeandika barua mbili attn PS lakini hakuna majibu.
Tafadhali nilikuwa naomba msaada hapa jamvini kama kuna mtu anaweza kunisaidia jinsi ya kwasiliana na wizara hii kwani ni muhimu tafadhali.