Crocodiletooth
JF-Expert Member
- Oct 28, 2012
- 18,659
- 20,995
Hakika chombo hiki cha police tanzania ni chombo ambacho kipo remoted na chama tawala sio chombo huru / god blesse
Hakika chombo hiki cha police tanzania ni chombo ambacho kipo remoted na chama tawala sio chombo huru / god blesse
Polisi hawafanyi kazi kwa katiba ya ccm. Wanafanya, kufuata na kulinda sheria za nchi. Hawaangalii cheo au joho la mtu
inasemekana kinachomponza gwajima ni urafiki wake na lowasa pamoja na dr.slaa.
kwani roho mtakatifu anamwambia afanyeje?
au gwajima anaongozwa na roho wa aina gani?
Ignorance and stupidity at its best level,hivi kweli tutaendelea kwa kua na type ya watu kama wewe?Think outside the box.
Waliwahi kuja kwangu kunifanyia upekuzi bila warrant wamevaa kiraia hawana vitambulisho nikakataa kusachiwa kihuni mmoja kasema Ngoja nikachukue warrant alipofika kwa mkuu wake kamweleza jamaa nijeuri amekataa kupekuliwa zilikuja gari mbili zimejaa police hapo kipigo na wageni nilikua nao pia wakachezea kipigo,baada ya upekuzi hawajakuta chochote ili kunitia adabu wakanibeba mm na mgeni wangu na mke wangu bila kujali alikua na kichanga cha week moja tena kajifungua kwa operation wote kituoni na hatukutoka bure
AFANDE KOVA HIO NIAIBU SANA SANA KAMA UKUWEZA KUTOKAMUDA WOTE HUTOKITENA KIMAISHA GWAJIMA HAJUIKUHONGA MKITAKA ATAWAPA VIElELEZO VYOTE.BILAKUTOA 500
Hakuna bosi anayeweza kuogopa vyombo alivyounda mwenyewe vimtumikie; hivi ni kifungu gani cha katiba kinachosema raia waogope polisi, mahakama na bunge au dola kwa mfumo wowote?
Yeye SIO DOLA, that is why baada ya kutukanwa amekaa kimya. Gwajima kwa mdomo wake alisema haogopi DOLA: haogopi Polisi, haogopi mahakama na wala haogopi Bunge...That is what he said, kumbe wakili wa nini ?
kwani roho mtakatifu anamwambia afanyeje?
au gwajima anaongozwa na roho wa aina gani?
GWajima mfa maji anatapatapa
kwani roho mtakatifu anamwambia afanyeje?
au gwajima anaongozwa na roho wa aina gani?
Polisi wafa maji wanatapatapa tu mara kamtukana Pengo mara Leseni ya hellcopter,mara usajili wa kanisa.
Gwajima asiishi katika material world, material life, aishi kwa vitendo katika spiritual world, spiritual life apambane kiroho kwa maombi sala na toba, aachane na mawakili ni kumkaribisha shetani
Kama kweli yeye ni mteule mtenda miujiza na anayeamini katika roho na kweli, asimame na Mungu sasa na kuonyesha kwa vitendo kile anachohubiri na kukiamini
Aachane na craving katika vitu na pesa, ada za mawakili azipeleke kuwasaidia wahitaji, afunge na kujitenga na ulimwengu wa sheria za mwanadamu ataona miujiza ikitendeka,. Asichanganye Mungu na dunia
imeandikwa usimjaribu bwana mungu wako je unataka amjaribu mungu kwenye nashauri ya kibinadam? hata yesu alipelekwa kwa pilato na alijitetea kama anavyo fanya gwajima .THINK BIG
Kwani wewe unaogopa DOLA? Kama ni hivyo utakuwa ni mtenda maovu! Mtu aliye safi hana sababu ya kuogopa DOLA, polisi au mahakama.