katika hali inayoonyesha ukomavu wa kujua sheria...mawakala wa chaema wambana mkurugezi kageshi juu ya form namba 17 ashindwa kujibu aokolewa na lema
safi sana mkuu . Atupe source pia tumechoka na mambo ya kupika hapa JF, facts zitawale badala ya hisia.Yegella unapoamua kuanzisha thread ili kutpa habari wana JF wenzio lazima pia utufikirie kwamba na sisi ni binadamu tunao hitaji kufahamu kilichojiri kweli kwa hiyo taarifa unadhani umetuhabarisha au umetupa maswali zaidi
Kwa nini walichachamaa
Kwa nini formu 17 ilizungumziwa
Kwa nini lema alimwokoa
tafadhali jibu maswali yangu
hata wewe umfikirie kama naye ni binadamu,pengine mazingira yanamfanya asiweze kutoa details kwa sasa.Yegella unapoamua kuanzisha thread ili kutpa habari wana JF wenzio lazima pia utufikirie kwamba na sisi ni binadamu tunao hitaji kufahamu kilichojiri kweli kwa hiyo taarifa unadhani umetuhabarisha au umetupa maswali zaidi
Kwa nini walichachamaa
Kwa nini formu 17 ilizungumziwa
Kwa nini lema alimwokoa
tafadhali jibu maswali yangu
Basi angesubiri wakati mwafaka lakini kutelea blanket statements inasikitisha kila mtu anawategemea wana JF walio huko front line kulifahamisha jukwa mambo yanayojitokeza huko na kweli wamejitahidi sana kwani sisi tuko mbele ya magazeti ya siku kwa kupata habari na picha namuomba basi atueleze kwa kina hadithi hiyo aliyoweka kwenye uzihata wewe umfikirie kama naye ni binadamu,pengine mazingira yanamfanya asiweze kutoa details kwa sasa.
asubiri kwani yeye ni TBC?Basi angesubiri wakati mwafaka lakini kutelea blanket statements inasikitisha kila mtu anawategemea wana JF walio huko front line kulifahamisha jukwa mambo yanayojitokeza huko na kweli wamejitahidi sana kwani sisi tuko mbele ya magazeti ya siku kwa kupata habari na picha namuomba basi atueleze kwa kina hadithi hiyo aliyoweka kwenye uzi
Anafikiri hadi habari ihaririwe na mhariri mkuu kama daily news.asubiri kwani yeye ni TBC?
Habari za jf ni live...sasa wewe unataka uhabarishwe kama mashairi ya shaban robert.
Mkuu hapo kwenye RED udhani kama unarudia makosa yale yale aliyokulalamikia Froida?lema ilibidi aingilie kati na kuwa ambia wawaachie viongozi walishungulikie wakati huohuo wanafunzi wa shule moja ya msingi walijumuika kwenye maandamano yasiyo rasmi
Wanaandamana kwenda wapi? au kupeleka ujumbe kwa nani?ya mawakala wakitoka kuapishwa huku wakisindikizwa na madereva toyo