CHAI CHUNGU
JF-Expert Member
- Feb 20, 2012
- 7,113
- 930
kutokana na mauwaji ya juzi Songea police 4 sasa mbaroni kujibu mashitaka ya mauwaji.
Chanzo:magazeti ya leo asubuhi.
Chanzo:magazeti ya leo asubuhi.
Mawazo yako haya ya facebook yapeleke huko huko facebook. G. thinker hawezi kutoa mawazo ya kipuuzi na ya kitoto kama haya. kwa hiyo baba na mama na ndugu zako wakiuliwa na polisi utafurahi sana! hata kama wewe ni polisi ipo siku huu ****** mnaoufanya utawatokea puani, endeleeni kuua nguvu ya umma itawapa fundisho siku moja, labda muishi dunia ya polisi tu usihitaji huduma wala kuishi uraianiWadau,hebu fikirien upande wa pili,HV ASKARI BUNDUKI AMEPEWA YA NIN?mnataka atulie tu apigwe mawe wakati ana silaha na matumiz yake anayajua....!
Wadau,hebu fikirien upande wa pili,HV ASKARI BUNDUKI AMEPEWA YA NIN?mnataka atulie tu apigwe mawe wakati ana silaha na matumiz yake anayajua....!
Wewe mwenzetu ni mtanzania kweli wewe???Wadau,hebu fikirien upande wa pili,HV ASKARI BUNDUKI AMEPEWA YA NIN?mnataka atulie tu apigwe mawe wakati ana silaha na matumiz yake anayajua....!
Wewe ni askari???mbona sasa unakua mjinga mjinga???Sis tunajua kamwe hamtupendi...lakin hyo ndio hali HAlisi,!kipo kifungu cha sheria kinachompa askar mamlaka ya kutumia silaha yake..! G.Thinker fikiria kama ni wew ndio askari...na umepewa silaha then unapigwa mawe na kundi la watu wenye jazba!
DCI Manumba utamsikia tu atasema Polisi hao walikuwa wanajitetea kutokana na wananchi wenye hasira kali!