unaniiga kuwaza kisu hizi?
sasa wee mwanamme unajiita kashata? Bora hata ungejiita kahawa.
Waache wapeane, wee ushashindwa kazi.
Mbona una mkatisha tamaa
Kwa kweli inaniuma sana nimetoka nae mbali sana uyu mtoto imefikia hatua wazazi wananiambia nitafute mwanamke mwingine nioe na harusi ni miezi 3 ijayo.Zoezi ni gumu kichwa kinauma sana
Kwa kweli inaniuma sana nimetoka nae mbali sana uyu mtoto imefikia hatua wazazi wananiambia nitafute mwanamke mwingine nioe na harusi ni miezi 3 ijayo.Zoezi ni gumu kichwa kinauma sana