BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,790
- 288,005
Pamoja na kuyafahamu yote haya bado unathubutu kumuita "mchumba" na kutaka kufunga ndoa naye miezi mitatu ijayo!!!!
Wadau wiki 3 zilizopita niliandika uzi wangu wa NAUMIA MOYONI ambao ulikua unaelezea jinsi mchumba wangu anavyochat kupita kiasi na rafiki yake waliosoma wote chuo.Wadau maumivu yameongezeka zaidi moyoni kwani wakiwa wanachat kwa sasa wanaitana bby na i lv u kwa sana.Juzi nilifungua email ya mchumba wangu nikakuta email ya jamaa akiomba penzi it seem jamaa ameshakubaliwa coz amesema amefurahi kupokelewa ninachohisi bdo kubanjuana coz mchumba wangu yupo kwenye mfungo wa ramadhani.Wadau nifanye nn na tunaelekea kufunga ndoa miezi 3 ijayo?