Maumivu wakati wa kukojoa

ERIC JOSEPH

JF-Expert Member
Aug 10, 2011
567
55
naomba msada tangu sasa ni siku ya tatu kila nikienda kukojoa nahis maumivu sana kwenye kichwa cha uume.naomba msada je ni ugonjwa
 
Urethritis na inawezekana ikawa ni maambukizi ya bakteria. Nenda hospitali wewe na partner wako mkatibiwe.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom