ERIC JOSEPH JF-Expert Member Aug 10, 2011 567 55 Jan 29, 2012 #1 naomba msada tangu sasa ni siku ya tatu kila nikienda kukojoa nahis maumivu sana kwenye kichwa cha uume.naomba msada je ni ugonjwa
naomba msada tangu sasa ni siku ya tatu kila nikienda kukojoa nahis maumivu sana kwenye kichwa cha uume.naomba msada je ni ugonjwa
ERIC JOSEPH JF-Expert Member Aug 10, 2011 567 55 Jan 29, 2012 Thread starter #2 naomba msada mana hali hii haijawah nitokea
Evarm JF-Expert Member Aug 30, 2010 1,934 1,400 Jan 29, 2012 #3 Nenda hospitali ukachekiwe, inawezekana ni ugonjwa wa zinaa huo.
D Discoverer Member Jul 16, 2009 58 12 Jan 29, 2012 #4 Urethritis na inawezekana ikawa ni maambukizi ya bakteria. Nenda hospitali wewe na partner wako mkatibiwe.
Urethritis na inawezekana ikawa ni maambukizi ya bakteria. Nenda hospitali wewe na partner wako mkatibiwe.
Mzalendo80 JF-Expert Member Oct 30, 2010 2,508 1,338 Jan 29, 2012 #6 Umeshalikwaa gonorrhea mkuu, ni STD hiyo nenda kapate huduma, pole.