Napata maumivu makali ya tumbo kila ninapolala chali muda mrefu

Ben-adam

JF-Expert Member
Jun 2, 2023
765
1,670
Wakuu heshima kwenu

Tatizo hili silielewi kabisa; siwezi kulala chali zaidi ya dakika 10, na nikizidisha hapo napata maumivu makali ya tumbo kiasi kwamba inanilazimu niamke nikae kwanza kama dak 5 ndipo nilale tena!

Kinachonishangaza; ikiwa nitasinzia muda mfupi kabla, (chini ya dak 10) hali hiyo haitokei hata nilale masaa sita!!

Je nina tatizo gani mimi?
 
Wakuu heshima kwenu

Tatizo hili silielewi kabisa; siwezi kulala chali zaidi ya dakika 10, na nikizidisha hapo napata maumivu makali ya tumbo kiasi kwamba inanilazimu niamke nikae kwanza kama dak 5 ndipo nilale tena!

Kinachonishangaza; ikiwa nitasinzia muda mfupi kabla, (chini ya dak 10) hali hiyo haitokei hata nilale masaa sita!!

Je nina tatizo gani mimi?
Pole mkuu.. Hiyo hali inakutokea muda gani?
Je una vidonda vya tumbo?
 
Wakuu heshima kwenu

Tatizo hili silielewi kabisa; siwezi kulala chali zaidi ya dakika 10, na nikizidisha hapo napata maumivu makali ya tumbo kiasi kwamba inanilazimu niamke nikae kwanza kama dak 5 ndipo nilale tena!

Kinachonishangaza; ikiwa nitasinzia muda mfupi kabla, (chini ya dak 10) hali hiyo haitokei hata nilale masaa sita!!

Je nina tatizo gani mimi?
Mkuu pole sana.

Ungeambatanisha na dalili nyinginezo. Je, huwa unapata haja kubwa kwa wakati? Je, chakula cha jioni huwa unakula kwa muda gani kabla ya kulala? Maumivu yake yanakuwa ya namna gani? Unapata kiungulia?

Pole sana.
 
Mkuu pole sana.

Ungeambatanisha na dalili nyinginezo. Je, huwa unapata haja kubwa kwa wakati? Je, chakula cha jioni huwa unakula kwa muda gani kabla ya kulala? Maumivu yake yanakuwa ya namna gani? Unapata kiungulia?

Pole sana.
Kwakwel... ukute ni constipation au GERD ndo inamsumbua.
 
Mkuu pole sana.

Ungeambatanisha na dalili nyinginezo. Je, huwa unapata haja kubwa kwa wakati? Je, chakula cha jioni huwa unakula kwa muda gani kabla ya kulala? Maumivu yake yanakuwa ya namna gani? Unapata kiungulia?

Pole sana.
Jibu haya Ben-adam
 
Mkuu pole sana.

Ungeambatanisha na dalili nyinginezo. Je, huwa unapata haja kubwa kwa wakati? Je, chakula cha jioni huwa unakula kwa muda gani kabla ya kulala? Maumivu yake yanakuwa ya namna gani? Unapata kiungulia?

Pole sana.
Dr Restart
Dalili nyingne ninayoiona ktk mwili wangu;

#huwa naanza kuhisi baridi kali kwenye pumbu (wakati wa baridi), kwangu ni bora nivae hata suruali mbili kuliko sweta. yaani baridi inapiga kama vile sijavaa kitu (kwenye pumbu tu).

NB: hii ilitangulia kabla ya hili la tumbo.. hali hii ilijitokeza zamani, ikapotea sasa naanza kuiona tena

#Chakula cha jioni nakula kabla ya saa 2 usiku, kwenye upande wa haja kubwa sijaona utofauti na zamani (kabla).

#Maumivu yake yanaanza taratibu na kuongezeka kwa kasi sana (nikiona hvyo naamka fasta)

sipati kiungulia..
 
Dr Restart
Dalili nyingne ninayoiona ktk mwili wangu;

#huwa naanza kuhisi baridi kali kwenye pumbu (wakati wa baridi), kwangu ni bora nivae hata suruali mbili kuliko sweta. yaani baridi inapiga kama vile sijavaa kitu (kwenye pumbu tu).

NB: hii ilitangulia kabla ya hili la tumbo.. hali hii ilijitokeza zamani, ikapotea sasa naanza kuiona tena

#Chakula cha jioni nakula kabla ya saa 2 usiku, kwenye upande wa haja kubwa sijaona utofauti na zamani (kabla).

#Maumivu yake yanaanza taratibu na kuongezeka kwa kasi sana (nikiona hvyo naamka fasta)

sipati kiungulia..
Sio mshipa kweli huu? Eti madokta?
 
Ukila chakula na kulala hutokea hii hali? Au inapita muda mrefu baada ya kula?..
haijalishi nimekula muda gani, kwasababu hata asubuhi kabla ya chai hutokea, mchana baada ya kula nikilala kama sina usingizi lazima itokee. (hasa nikilala chali)
 
Dr Restart
Dalili nyingne ninayoiona ktk mwili wangu;

#huwa naanza kuhisi baridi kali kwenye pumbu (wakati wa baridi), kwangu ni bora nivae hata suruali mbili kuliko sweta. yaani baridi inapiga kama vile sijavaa kitu (kwenye pumbu tu).

NB: hii ilitangulia kabla ya hili la tumbo.. hali hii ilijitokeza zamani, ikapotea sasa naanza kuiona tena

#Chakula cha jioni nakula kabla ya saa 2 usiku, kwenye upande wa haja kubwa sijaona utofauti na zamani (kabla).

#Maumivu yake yanaanza taratibu na kuongezeka kwa kasi sana (nikiona hvyo naamka fasta)

sipati kiungulia..
Pole mkuu.. Hili tatizo lina muda gani hadi sasa?

Naona ni vyema ukaenda hospitali kwa uchunguzi zaidi, huko utafunguka na kuelezea zaidi yanayokusibu. Huenda ukawa na digestive issues au hernia???.

Ni vyema ukawahi sasa kwasababu ndio kwanza inaonekana tatizo lako halijawa la muda mrefu.
 
Pole mkuu.. Hili tatizo lina muda gani hadi sasa?

Naona ni vyema ukaenda hospitali kwa uchunguzi zaidi, huko utafunguka na kuelezea zaidi yanayokusibu. Huenda ukawa na digestive issues au hernia???.

Ni vyema ukawahi sasa kwasababu ndio kwanza inaonekana tatizo lako halijawa la muda mrefu.
nimefuatilia zaidi naona kama mshale unasoma hapo kwenye henia

Shukrani mkuu nalishughulikia
 
Back
Top Bottom