BAGAH
JF-Expert Member
- Jan 17, 2012
- 4,523
- 1,060
thread ilishakuwepo long tiiime.....https://www.jamiiforums.com/celebrities-forum/91886-maulidi-kitenge-anaponyoa-kihuni.html
Yo Yo nikikukamata...sijajua!!...
Last edited by a moderator:
thread ilishakuwepo long tiiime.....https://www.jamiiforums.com/celebrities-forum/91886-maulidi-kitenge-anaponyoa-kihuni.html
Correction sir: Jamaa ni mume wa WATU,chezeya kitenge wewe!
km wewe
Niwekee picha yake mtoa mada anaweza kunivutia naona bado kwake kuna vacancy ,..
chezea jezi namba tisa mgongoni a.k.a striker nyota kabisa
ana panga zamu. Na hawana wivu. Siku akizidiwa sana basi anasaidiwa na waungwana.
anapanda na kushuka
Kitenge siyo lelemama
anauwezo wa kukaa na wamama watatu,
sijui anawezaje.
pengine wanampendea hizo fasheni za kichwani.