huyo jamaa wa ajabu sana mwenyewe anafikiri ni ujanja kumbe ni ushamba hivi muonekano huo akiwa kwenye screen anatufundishia nn watoto wetu? ndio maana kaoa mtu ambae ni aged kwake.
Umri si kitu bwana, muhimu upendo!Hata akma bwana?
Kupishana umri kihivyo sio ishu mkaka...
ki kawaida ni kwamba ukiruka jambo furani wakati ukiwa mtoto, saikolojia inasema ni lazima utafanya tena vitendo hivyo hata kama ukiwa mzeeHuyu mtangazaji wa muda mrefu tena mwenye haiba kubwa katika fani hii.
Jana nilimwona kwa mechi ya Twiga Starz, akiwa amenyoa KIDUKU a.k.a 'bwenzi'
Huyu bwana, kulingana na uzoefu wake na umri alionao, bila kusahau heshima yake kwa jamii, ni wa kufanya kitu cha namna hii?
Eti wadau...
ukiruka stage utarudia tu tena bila kujijua.... Si makosa yake...
Yes! Kwa sababu ana uchaguzi despite hadhi.sasa uonavyo wewe kwa ile hadhi yake ni wa kunyoa ule mnyoo?
akiwa aged hakojoi?
!au kitobo utamu kinaisha utamu?
Mphamvu, Mimi nataka nimuone kwanza.... nahisi unatania.....
sijafanya bado huo ujinga.
God forbid...
Inaelekea hujui tofauti ya kiduku Na bwenzi.Huyu mtangazaji wa muda mrefu tena mwenye haiba kubwa katika fani hii.
Jana nilimwona kwa mechi ya Twiga Starz, akiwa amenyoa KIDUKU a.k.a 'bwenzi'
Huyu bwana, kulingana na uzoefu wake na umri alionao, bila kusahau heshima yake kwa jamii, ni wa kufanya kitu cha namna hii?
Eti wadau...
c naskia yule ni chakula.
Inaelekea hujui tofauti ya kiduku Na bwenzi.
Kiduku nywele zinafika mpaka uchogoni wakati bwenzi zinaishia utosini tu.
Bwenzi sio issue sana hata Ngeleja sometimes hua ananyoaga, but kiduku ndo imekaa kitoto zaidi ambapo mtu mzima akinyoa anachukiza.