Maulid Baraka wa Kitenge

huyo jamaa wa ajabu sana mwenyewe anafikiri ni ujanja kumbe ni ushamba hivi muonekano huo akiwa kwenye screen anatufundishia nn watoto wetu? ndio maana kaoa mtu ambae ni aged kwake.
 
huyo jamaa wa ajabu sana mwenyewe anafikiri ni ujanja kumbe ni ushamba hivi muonekano huo akiwa kwenye screen anatufundishia nn watoto wetu? ndio maana kaoa mtu ambae ni aged kwake.

akiwa aged hakojoi?
!au kitobo utamu kinaisha utamu?
 
Mbona hata mimi nimenyoa kiduku kwnye nywele za huku na namiaka 60!!
POPOBAWA.
 
Huyu mtangazaji wa muda mrefu tena mwenye haiba kubwa katika fani hii.
Jana nilimwona kwa mechi ya Twiga Starz, akiwa amenyoa KIDUKU a.k.a 'bwenzi'
Huyu bwana, kulingana na uzoefu wake na umri alionao, bila kusahau heshima yake kwa jamii, ni wa kufanya kitu cha namna hii?
Eti wadau...
ki kawaida ni kwamba ukiruka jambo furani wakati ukiwa mtoto, saikolojia inasema ni lazima utafanya tena vitendo hivyo hata kama ukiwa mzee
 
Huyu mtangazaji wa muda mrefu tena mwenye haiba kubwa katika fani hii.
Jana nilimwona kwa mechi ya Twiga Starz, akiwa amenyoa KIDUKU a.k.a 'bwenzi'
Huyu bwana, kulingana na uzoefu wake na umri alionao, bila kusahau heshima yake kwa jamii, ni wa kufanya kitu cha namna hii?
Eti wadau...
Inaelekea hujui tofauti ya kiduku Na bwenzi.
Kiduku nywele zinafika mpaka uchogoni wakati bwenzi zinaishia utosini tu.
Bwenzi sio issue sana hata Ngeleja sometimes hua ananyoaga, but kiduku ndo imekaa kitoto zaidi ambapo mtu mzima akinyoa anachukiza.
 
Inaelekea hujui tofauti ya kiduku Na bwenzi.
Kiduku nywele zinafika mpaka uchogoni wakati bwenzi zinaishia utosini tu.
Bwenzi sio issue sana hata Ngeleja sometimes hua ananyoaga, but kiduku ndo imekaa kitoto zaidi ambapo mtu mzima akinyoa anachukiza.

Kwa hiyo la Kitenge ni duku au bwenzi?
 
Back
Top Bottom