Mauaji ya Tanga

Kichinjwa chini ya kisogo ndo magumu au kifo cha watu 8????
 
Mwaka Jana wakati watu wanakamatwa Na jeshi la polisi kwa kuhisiwa ni magaidi huko Tanga kuna member wengi humu walikuwa wanabeza sana Na kuwaona polisi wanaonea watu!!
Ndio maana humu Jf tunasema kuna watu akili zao ni negative siku zote!
Leo hii mnaona kinachotokea huko huko Tanga sasa??
 
Mwaka Jana wakati watu wanakamatwa Na jeshi la polisi kwa kuhisiwa ni magaidi huko Tanga kuna member wengi humu walikuwa wanabeza sana Na kuwaona polisi wanaonea watu!!
Ndio maana humu Jf tunasema kuna watu akili zao ni negative siku zote!
Leo hii mnaona kinachotokea huko huko Tanga sasa??
Kuchinjana ndio ugaidi?
Hao wakurya wanaochinjana kila siku ni magaidi?

Au kwa kua ni Tanga?
 
Kuchinjana ndio ugaidi?
Hao wakurya wanaochinjana kila siku ni magaidi?

Au kwa kua ni Tanga?
Ukitumia akili yako vizuri tu utagundua utofauti ya wanaochinjana huko kwa wakurya Na huko Tanga!
Fikiria tu vizuri utaligundua hilo mkuu!!!
 
Wakati mauaji ya watu wanane waliochinjwa usiku wa kuamkia juzi mkoani Tanga yakizua maswali lukuki na kuzidisha hofu, imebainika kuwa wauaji waliwachinja wote kuanzia sehemu ya chini ya kisogo.

Watu hao waliuawa kwa kuchinjwa katika kitongoji cha Mabatini, Kata ya Mzimama, Tanga.

Tukio hilo lilifanywa nje ya nyumba ya mwenyekiti wa kitongoji hicho, ikiwa ni mwendelezo wa mauaji ya uchinjaji yaliyoikumba nchi tangu mwanzoni mwa mwezi uliopita.

Mauaji hayo yametokea wakati mkoa wa Tanga ukizidi kukumbwa na matukio yanayohisiwa kuwa ni ya kigaidi tangu polisi kwa kushirikiana na askari wa Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ) walipopambana na watu wasiojulikana kwenye mapango ya Amboni Januari 26 mwaka jana.


Chanzo: Mwananchi
Hayo mazito yaliyoibuka yako wapi au ilitaka watu wasome thread yako?
 
Regardless of the thread tittle
Naamini Shida ni kubwa zaidi ya idhaniwavyo..
 
China raia hawana silaha na haya hayatokei!

Cha maana ni kupiga marufuku kumiliki silaha..ni Majeshi TU.

Hata panga na shoka tupigwe marufuku? Kwani hao wananchi walichinjwa kwa bastola au?
 
Wakati mauaji ya watu wanane waliochinjwa usiku wa kuamkia juzi mkoani Tanga yakizua maswali lukuki na kuzidisha hofu, imebainika kuwa wauaji waliwachinja wote kuanzia sehemu ya chini ya kisogo.

Watu hao waliuawa kwa kuchinjwa katika kitongoji cha Mabatini, Kata ya Mzimama, Tanga.

Tukio hilo lilifanywa nje ya nyumba ya mwenyekiti wa kitongoji hicho, ikiwa ni mwendelezo wa mauaji ya uchinjaji yaliyoikumba nchi tangu mwanzoni mwa mwezi uliopita.

Mauaji hayo yametokea wakati mkoa wa Tanga ukizidi kukumbwa na matukio yanayohisiwa kuwa ni ya kigaidi tangu polisi kwa kushirikiana na askari wa Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ) walipopambana na watu wasiojulikana kwenye mapango ya Amboni Januari 26 mwaka jana.


Chanzo: Mwananchi
naona hapo chini ya kisogo ndo maajabu au?
 
Mwaka Jana wakati watu wanakamatwa Na jeshi la polisi kwa kuhisiwa ni magaidi huko Tanga kuna member wengi humu walikuwa wanabeza sana Na kuwaona polisi wanaonea watu!!
Ndio maana humu Jf tunasema kuna watu akili zao ni negative siku zote!
Leo hii mnaona kinachotokea huko huko Tanga sasa??
Na kuna watu walisema ni maigizo hakuna lolote.
 
Back
Top Bottom