yafaa tujue aina ya uchinjaji iliyotumika hutumiwa na mtu mwenye uwezo upi kwenye taaluma ya ugaidi ndo tukatae kuwa hakuna zito hapa....Katika hii stori, mazito ni yepi mkuu?
Katika hii stori, mazito ni yepi mkuu?
Kuchinjana ndio ugaidi?Mwaka Jana wakati watu wanakamatwa Na jeshi la polisi kwa kuhisiwa ni magaidi huko Tanga kuna member wengi humu walikuwa wanabeza sana Na kuwaona polisi wanaonea watu!!
Ndio maana humu Jf tunasema kuna watu akili zao ni negative siku zote!
Leo hii mnaona kinachotokea huko huko Tanga sasa??
Ukitumia akili yako vizuri tu utagundua utofauti ya wanaochinjana huko kwa wakurya Na huko Tanga!Kuchinjana ndio ugaidi?
Hao wakurya wanaochinjana kila siku ni magaidi?
Au kwa kua ni Tanga?
Hayo mazito yaliyoibuka yako wapi au ilitaka watu wasome thread yako?Wakati mauaji ya watu wanane waliochinjwa usiku wa kuamkia juzi mkoani Tanga yakizua maswali lukuki na kuzidisha hofu, imebainika kuwa wauaji waliwachinja wote kuanzia sehemu ya chini ya kisogo.
Watu hao waliuawa kwa kuchinjwa katika kitongoji cha Mabatini, Kata ya Mzimama, Tanga.
Tukio hilo lilifanywa nje ya nyumba ya mwenyekiti wa kitongoji hicho, ikiwa ni mwendelezo wa mauaji ya uchinjaji yaliyoikumba nchi tangu mwanzoni mwa mwezi uliopita.
Mauaji hayo yametokea wakati mkoa wa Tanga ukizidi kukumbwa na matukio yanayohisiwa kuwa ni ya kigaidi tangu polisi kwa kushirikiana na askari wa Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ) walipopambana na watu wasiojulikana kwenye mapango ya Amboni Januari 26 mwaka jana.
Chanzo: Mwananchi
matusi ya nini ww pumbaf kweli , mazito si ndio hayo kwani mepesi hayo?Tunapotezeana muda kwa kutuandikia kichwa cha habari cha kipumbavu.
China raia hawana silaha na haya hayatokei!
Cha maana ni kupiga marufuku kumiliki silaha..ni Majeshi TU.
Umeona ee? Nimekimbilia kusoma kumbe kelele nyingi tu ambazo hazina kitu.Habari haiendani na kichwa cha habari yenyewe...haielezi hayo mazito yenyewe
naona hapo chini ya kisogo ndo maajabu au?Wakati mauaji ya watu wanane waliochinjwa usiku wa kuamkia juzi mkoani Tanga yakizua maswali lukuki na kuzidisha hofu, imebainika kuwa wauaji waliwachinja wote kuanzia sehemu ya chini ya kisogo.
Watu hao waliuawa kwa kuchinjwa katika kitongoji cha Mabatini, Kata ya Mzimama, Tanga.
Tukio hilo lilifanywa nje ya nyumba ya mwenyekiti wa kitongoji hicho, ikiwa ni mwendelezo wa mauaji ya uchinjaji yaliyoikumba nchi tangu mwanzoni mwa mwezi uliopita.
Mauaji hayo yametokea wakati mkoa wa Tanga ukizidi kukumbwa na matukio yanayohisiwa kuwa ni ya kigaidi tangu polisi kwa kushirikiana na askari wa Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ) walipopambana na watu wasiojulikana kwenye mapango ya Amboni Januari 26 mwaka jana.
Chanzo: Mwananchi
Wakulya hawachinji chini ya kisyogo.Kuchinjana ndio ugaidi?
Hao wakurya wanaochinjana kila siku ni magaidi?
Au kwa kua ni Tanga?
Na kuna watu walisema ni maigizo hakuna lolote.Mwaka Jana wakati watu wanakamatwa Na jeshi la polisi kwa kuhisiwa ni magaidi huko Tanga kuna member wengi humu walikuwa wanabeza sana Na kuwaona polisi wanaonea watu!!
Ndio maana humu Jf tunasema kuna watu akili zao ni negative siku zote!
Leo hii mnaona kinachotokea huko huko Tanga sasa??