Uwezo Tunao
JF-Expert Member
- Nov 14, 2010
- 6,942
- 1,190
Polisi wanawaua wananchi kinyama Songea kwa kuwa wamekataa kupokea MADIWANI UCHWARA WA MHE NCHIMBI halafu kafa inzi vile Rais wetu Kikwete bado anasubutu kufaulisha ndege pale Dubai moja kwa moja kwenda Botswana kucheza Makirikiri akitokea Uingereza alikoenda kuwatafutia amani Wasomalia na wala hana taimu na sisi wananchi wake????????