mpalu
JF-Expert Member
- Sep 15, 2010
- 2,521
- 870
hapana! sabaUkubwa wake ni nini anaroho mbili??????
hapana! sabaUkubwa wake ni nini anaroho mbili??????
alidai afisa uhamiaji aliingia bahati mbaya kwenye mtego
hii kitu!hii kitu!hii kitu!wengine ni vibogoyo kwa sababu ya hii kitu!Wanaogopa kusema alikuwa na kimada...RIP kamanda
.kufanya niniNasikia raha sana kuona makamanda nao wanaonja utamu wa vitu vyenye ncha kali, Naomba Mungu hao majambazi waende na kule IRINGA na MOROGORO
wakawarushie maRPC wale vitu vyenye ncha kali au vyenye mlipuko kama Policcm walivyofanya kwa muuza magazeti(morogoro) na Mwangosi (Iringa)..kufanya nini
[/I]
double standard kwenye lipi? Kamanda wa polisi ni cheo kikubwa ndo maana anapewa hayo yote! mbona husemi kwa nini viongozi wengine wanalindwa na wengine hawalindwi? hizi ni protocal katika kila nchi,
wewe hapo kwenye red koma kabisahivi nyie mnao wachukia polisi ni kweli hamuoni umuhimu wake au mnaongea tu kujifurahisha, kwani huyu kamanda anatofauti gani na mwangosi wote si wameuwawa na wote wana haki ya kuchunguzwa vifo vyao. hebu tubaki katika ukweli na kuacha ushabiki usiokua na maana kwani polisi ni jamaa yako.
punguza jabawakawarushie maRPC wale vitu vyenye ncha kali au vyenye mlipuko kama Policcm walivyofanya kwa muuza magazeti(morogoro) na Mwangosi (Iringa).
MALIPO NI HAPA HAPA DUNIANI
Mmmhhh, tarifa za awali zilitueleza kuwa walitoka wote kwenye kikao na mwalimu Doroth, mara mambo yamegeuzwa walikutana njiani (usiku saa 8 huyo mama alikuwa anatembea peke yake, makubwa!!).
Moyo wangu unakataa kuamini hii new twist. Nyie badilisheni na kunyumbulua tu, time will tell.
Unafurahisha kweli hapo kwenye red, nafikiri ataendelea na cheo chake huko alikoenda
hawaongelei uhai wanangelea wadhifa Cheo "ndo maana wengine wanalindwa na wengine hawalindwi""Kuuawa kwa Kamanda Barlow si tukio dogo"
Hii sentensi sikuielewa kabisa, kumbe kuna wenye uhai wenye thamani zaidi kuliko wengine
Nafurahi kama unatambua hapo kwenye redhata kama hutaki ukweli ndo huo, hapa ni hapa tunaongelea hadhi na wala hatuongelei kifo. kufa kila mtu atakufa tu
Mmmhhh, tarifa za awali zilitueleza kuwa walitoka wote kwenye kikao na mwalimu Doroth, mara mambo yamegeuzwa walikutana njiani (usiku saa 8 huyo mama alikuwa anatembea peke yake, makubwa!!).
Moyo wangu unakataa kuamini hii new twist. Nyie badilisheni na kunyumbulua tu, time will tell.