TL. Marandu
JF-Expert Member
- Jul 12, 2015
- 3,625
- 5,807
Miaka ya Nyuma Yameshafanyika Mauaji kadhaa na Ulipuaji Mabomu, Ambapo watu Waliumizwa na Kwa haraka haraka Chama Fulani cha Siasa Kikashutumiwa, (Chadema) Na aliyewashutumu sio Mwingine Bali Ni ambaye sasa Ni Waziri wa Mambo ya Ndani Mwigulu Nchemba.
Cha Kushangaza Juzi Tu yamejirudia Tena Kwa Polisi Wanne Kuuwawa kwa Jinsi ya Kutatanisa sana, Na Ajabu iliyoje Mwigulu Nchemba anajitokeza tena safari hii, akiwa kama Waziri wa Mambo ya Ndani, Wanasingiziwa tena Ukawa na Operesheni UKUTA, Kisha Inafuatia Kamishina wa Mafunzo wa Polisi Kupiga Marufuku Mikutano ya Ndani ya Kisiasa, akidai Kuna wanaowatuma waendesha bodaboda wanunue petroli ya kuchoma maeneo, Cha ajabu huyo Mtu anayepanga Uhalifu, tena Ugaidi hawamkamati
Hisia Zangu Ni Kuwa Kuna Viongozi Waovu sana, Waovu Kupitiliza Waliowatoa Kafara Askari wale Kwa Lengo la Kusingizia au Kupata Kick ya Kuonea na Kusingizia Wengine. Mtu yeyote anayefikiri Kwa Kina atajua Kuna Kioja cha ajabu.
Angalia Historia ya Mwigulu,
Siamini Kama Rais naye atakaa Kimnya Katika Mashaka ya Namna Hii, Mimi Naona sio Vizuri Kumhukumu Mtu lakini Mwigulu Nchemba na Yule Aliye toa Tamko linaloonyesha Maajabu (Kamishina wa Mafunzo) Wawekwe Pembeni Kupisha Uchunguzi Mkali, Vinginevyo Lawama Itamwangukia Rais Ikitokea Kuwa Kuna Hujuma chafu zilifanywa. Inasikitisha sana, sana!
Watazame sana Machoni "yakipepesa Kushoto na Kulia" Utajua Kama anachozungumza, Hakitoki Moyoni. Na Pia Wanaonekana Wakipima sana Maneno yao.
Cha Kushangaza Juzi Tu yamejirudia Tena Kwa Polisi Wanne Kuuwawa kwa Jinsi ya Kutatanisa sana, Na Ajabu iliyoje Mwigulu Nchemba anajitokeza tena safari hii, akiwa kama Waziri wa Mambo ya Ndani, Wanasingiziwa tena Ukawa na Operesheni UKUTA, Kisha Inafuatia Kamishina wa Mafunzo wa Polisi Kupiga Marufuku Mikutano ya Ndani ya Kisiasa, akidai Kuna wanaowatuma waendesha bodaboda wanunue petroli ya kuchoma maeneo, Cha ajabu huyo Mtu anayepanga Uhalifu, tena Ugaidi hawamkamati
Hisia Zangu Ni Kuwa Kuna Viongozi Waovu sana, Waovu Kupitiliza Waliowatoa Kafara Askari wale Kwa Lengo la Kusingizia au Kupata Kick ya Kuonea na Kusingizia Wengine. Mtu yeyote anayefikiri Kwa Kina atajua Kuna Kioja cha ajabu.
Angalia Historia ya Mwigulu,
Siamini Kama Rais naye atakaa Kimnya Katika Mashaka ya Namna Hii, Mimi Naona sio Vizuri Kumhukumu Mtu lakini Mwigulu Nchemba na Yule Aliye toa Tamko linaloonyesha Maajabu (Kamishina wa Mafunzo) Wawekwe Pembeni Kupisha Uchunguzi Mkali, Vinginevyo Lawama Itamwangukia Rais Ikitokea Kuwa Kuna Hujuma chafu zilifanywa. Inasikitisha sana, sana!
Watazame sana Machoni "yakipepesa Kushoto na Kulia" Utajua Kama anachozungumza, Hakitoki Moyoni. Na Pia Wanaonekana Wakipima sana Maneno yao.