Ndachuwa
JF-Expert Member
- Mar 8, 2006
- 6,269
- 4,569
https://www.jamiiforums.com/habari-...ya-mwenyekiti-wa-cdm-usa-arusha-watoroka.html Mwita Maranya Matola
Kweli mkuu Matola akiwa msemaji wa chama Tumaini Makene hastahili kuandika habari za tetesi, isipokuwa facts otherwise anakuwa anajiweka katika nafasi mbaya ya kuendelea kuwa reliable source of information/news.
Tafdhali makene jaribu kutumia njia zote unzoweza kuthibitisha habari hii.
Last edited by a moderator: