DON KILLUMINATI
Senior Member
- Jan 2, 2011
- 193
- 83
Kwa masikitiko Makubwa Ulimwengu umeshuhudia mauaji ya waumini wa dini ya Kiislam yaliyofanywa na Buddhists nchini BURMA, lakini jambo la kusikitisha ni kwamba habari hii haijapewa uzito wowote katika vyombo vya habari vya kimataifa na wala hata UN haijahangaika kuhakikisha mauaji hayo yanakoma.
NOTE:
GUYS I AM A DEVOTED CHRISTIAN. DINI YANGU HAIRUHUSU MAUAJI YA NAMNA YOYOTE ILE, IWE NI KWA MKRISTO WALA KWA MUISLAM, WALA KWA DINI YOYOTE. NASHANGAA WANA JF WANAONISHAMBULIA KWA KUSEMA KWAMBA "SISI" WAISLAM TUMEZOEA KULALAMIKA.
KWA KIFUPI SIWAOMBEI MABAYA WAISLAM KWA SABABU NAO NI WANADAM, NA WAPO WAISLAM AMBAO WANABADILI DINI NA KUWA WAUMINI WAZURI WA KRISTO KULIKO WEWE UNAYEWAPONDA.
READ MY SIGNATURE BELOW .............
NOTE:
GUYS I AM A DEVOTED CHRISTIAN. DINI YANGU HAIRUHUSU MAUAJI YA NAMNA YOYOTE ILE, IWE NI KWA MKRISTO WALA KWA MUISLAM, WALA KWA DINI YOYOTE. NASHANGAA WANA JF WANAONISHAMBULIA KWA KUSEMA KWAMBA "SISI" WAISLAM TUMEZOEA KULALAMIKA.
KWA KIFUPI SIWAOMBEI MABAYA WAISLAM KWA SABABU NAO NI WANADAM, NA WAPO WAISLAM AMBAO WANABADILI DINI NA KUWA WAUMINI WAZURI WA KRISTO KULIKO WEWE UNAYEWAPONDA.
READ MY SIGNATURE BELOW .............
Last edited by a moderator: