Ndio lilikuwa lengo kuu la Marekani na washirika wake kuhakikisha Walibya wanapigana ili wachote mafuta, na ndivyo ilivyotokea Iraq. Yaweza pia itokee Iran.
Mkuu, hizi mbinu za watu wa magharibi ni hatari sana - itakuwa vigumu Libya kutulia, watapigana wenyewe kwa wenyewe kwa muda mrefu sana huku mafuta yao yakichotwa na wajanja, mambo kama hayo yanaendelea huko IRAQ - mafuta yanachukuliwa na nchi za magharibi wakati IRAQ bado hakuna amani hata kidogo, wateule wa nchi za Magharibi wanajifungia ndani kwa kuogopa kuhuwawa yaani vurugu tupu!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.