Mauaji ya Daudi Mwangosi: Ushuhuda wa kilichotokea hadi kifo chake

Kwa hali hii nitaimbaje Tanzania, Tanzania nakupenda kwa moyo wote ...................., Pole waandishi wa habari. Lakini sasa tambueni kwamba muda wa habari nyepesi nyepesi za kuwapamba watawala umepitwa na wakati, fuateni nyayo za Mwana Halisi, tuungane katika kukemea maovu, kuyaandika kwa usahihi bila kuchakachua, Andikeni habari za uchunguzi bila hofu, tujitoe mhanga bila woga. Nadhani hiyo itakuwa njia sahihi ya kumwezi shujaa, mpigania haki, mzalendo Daudi Mwangosi.

Let us stand up, stand up for your right, ................., Don't give up the fight .........................
 
Naungana na Mama Bisimba; Ifike mahali tuchoke kutoa matamko yasiyo na matokeo. Mlio katika nafasi tuongozeni namna ya kuchukua hatua juu ya unyanyasaji huu. Wengine imefikia mahali tunaogopa polisi kama miungu, maana kumbe wanaweza kuamua kuhusu uhai wetu
 
This is very very sad, the police did this without fear, i guess there were doing this to impress Magambaz or they have been ordered
 
Dah! Nimesoma habari hii pamoja na kwamba mi huwa mgumu wa kulia lakini machozi yamenitoka. Inauma sana, inasikitisha sana na inatia hasira sana. Ni ngumu kuamini kama askari wetu wamefanya mauaji ya kinyama kiasi hicho. Nchi za wenzetu askari anapigwa picha huku askari akiwa ameweka mtutu wake mbele lakini hamdhuru mwandishi wa habari. Dah! Wahusika wanatakiwa kuchukuliwa hatua kali na iwe fundisho kwa wengine. Dah! Mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi. AMINA!
 
Duh inasikitisha sana. Lakini tunapaswa kutumia fursa hii sisi watu Press kujitafakari namna tunavyofanyakazi katika mazingira hatarishi pamoja na siasa za sasa.
 
attachment.php
 
Siku Mwangosi alipouawa kwanza hakuna vurugu zilizosababisha apigwe, Pili, aliuawa baada ya watu kutawanywa kwa maana haikuwa bahati mbaya, tatu Polisi mara tu baada ya mauaji ya Mwangosi wakaondoka na defender zao na silaha bila kusubiri au kuangalia kama litatokea lolote.

Kulithibitisha hili moto uliwashwa katikati ya lami muda mfupi sana baada ya kuuawa Mwangosi lakini polisi wote walikuwa wameondoka.( source: Nilikuwepo Nyololo siku ya tukio )
 
Siku Mwangosi alipouawa kwanza hakuna vurugu zilizosababisha apigwe, Pili, aliuawa baada ya watu kutawanywa kwa maana haikuwa bahati mbaya, tatu Polisi mara tu baada ya mauaji ya Mwangosi wakaondoka na defender zao na silaha bila kusubiri au kuangalia kama litatokea lolote.

Kulithibitisha hili moto uliwashwa katikati ya lami muda mfupi sana baada ya kuuawa Mwangosi lakini polisi wote walikuwa wameondoka.( source: Nilikuwepo Nyololo siku ya tukio )

Nne,Kabla ya kwenda Nyororo alikuwa kwa Slaa ambapo waliongea kwa muda mrefu hadi akachelewa gari la waandishi. Tano, alitolewa kafara na CDM na wakabeba utumbo wake na kuupeleka MR Hotel kisha akakabidhiwa Slaa na kutokomea nao.
 
Nne,Kabla ya kwenda Nyororo alikuwa kwa Slaa ambapo waliongea kwa muda mrefu hadi akachelewa gari la waandishi. Tano, alitolewa kafara na CDM na wakabeba utumbo wake na kuupeleka MR Hotel kisha akakabidhiwa Slaa na kutokomea nao.

mkuu habari za kihesa? Hawajambo wote mitaa ya mtwivila, kibwabwa, mkimbizi mpaka frelimo? Nakusalimia tu mjomba.
 
Nne,Kabla ya kwenda Nyororo alikuwa kwa Slaa ambapo waliongea kwa muda mrefu hadi akachelewa gari la waandishi. Tano, alitolewa kafara na CDM na wakabeba utumbo wake na kuupeleka MR Hotel kisha akakabidhiwa Slaa na kutokomea nao.

Mkuu muogope Mungu!
 
Back
Top Bottom