Amavubi
JF-Expert Member
- Dec 9, 2010
- 30,146
- 13,216
- Judge...........Mwenyekiti
- Theophile Makunga-Tanzania Editors Forum (TEF)
- Pili Mtambalike-MCT
- Jeshi la Polisi
- Mtaalamu wa Mabomu
Wakuu
Hizi ndizo hadidu za Rejea za Dr Nchimbi kwa Tume yake
1.Je nini chanzo cha Kifo cha DM?
2. Je ni kweli kwamba kuna uhasama kati ya waandishi wa habari mkoani Iringa na Jeshi la Polisi?
3. Je ni kweli kwamba kuna waandishi 3 walipanga kuuawa na jeshi la Polisi mkoani Iringa?
4. Je Ukubwa wa nguvu iliyotumika ulikua sahihi?
5. Je zipo taratibu zozote za vyama vya siasa kukata rufaa visiporidhika na maamuzi ya Jeshi la Polisi?
6. Je ni kweli kuna tatizo la mahusiano baina ya jeshi la polisi na vyama vya siasa?
My take;
angalieni wenyewe, aina ya maswali, nature ya tukio, aina ya wajumbe......kuna mparaganyiko mkubwa sana, sijui kama huyu jamaa ali-consult, maswali hayajaenda shule kabisa, na kama ndio TORs basi hakuna kitu hapo.