KIM KARDASH
JF-Expert Member
- Sep 21, 2011
- 5,139
- 1,139
Boss wa TP Mazembe Moize Katumbi Chapwe atembelea wanja la TP Mazembe
Asante ngoja tusubiri awe mwenyekiti
Jukwaa la siasa limevamiwa aisee. Pelekeni sports huko
Back to the topic: Manji anataka yale majengo ya Yanga, na atafanya mchakato mpaka ayanunue kisha mtaona maana yake nini. Me mwanachama wa Yanga, na ninaona heri aje afanye mambo yake kama yale ya QUALITY PLAZA, kisha sisi tuchukue dividends tu kama shareholders. Si unaona ile Barabara pale ? Yule mtu balaa kwa kuforecast. Wasiojua maana yake wataniponda. Go manji go...you have my vot
Jukwaa la siasa limevamiwa aisee. Pelekeni sports huko
Back to the topic: Manji anataka yale majengo ya Yanga, na atafanya mchakato mpaka ayanunue kisha mtaona maana yake nini. Me mwanachama wa Yanga, na ninaona heri aje afanye mambo yake kama yale ya QUALITY PLAZA, kisha sisi tuchukue dividends tu kama shareholders. Si unaona ile Barabara pale ? Yule mtu balaa kwa kuforecast. Wasiojua maana yake wataniponda. Go manji go...you have my vot
Boss wa TP Mazembe Moize Katumbi Chapwe atembelea wanja la TP Mazembe
Sehemu ya Kupumzikia wakuuView kutoka sehemu ya juu ya VIPMoise Katumbi akiangalia uwanja viti vya mzungukoMakabati ya kuwekewa nguo vyumba vya kubadilishia
Picha zote kwa hisani ya Mtandao wa TP Mazembe
Asante ngoja tusubiri awe mwenyekiti
Kwani yanga imemfanyia nini manji toka ajiunge nayo???moise timu ni yake Manji timu si yake ana yake anayoyataka yanga na tuone kama ni kweli atajiuliza niifanyie nini yanga au yanga imenifanyia nini?
Kwani yanga imemfanyia nini manji toka ajiunge nayo???