Matusi na kejeli mitandaoni vimepungua tangu tarehe 5 Novemba

canfi

JF-Expert Member
Jun 26, 2022
1,240
1,279
Tangu Simba achapike bila huruma mnamo tarehe 5 November 2023, kumekuwa na kuheshimiana miongoni mwa watumiaji wa mitandao ya kijamii. Yale matusi yasiyo na sababu pamoja na posts za kukebehiana vimepungua sana.

Nadhani hali hii inapaswa kuendelea na kuzoeleka. Ni kitu kizuri sana.
 
Tangu Simba achapike bila huruma mnamo tarehe 5 November 2023, kumekuwa na kuheshiniana miongoni mwa watumiaji wa mitandao ya kijamii. Yale matusi yasiyo na sababu pamoja na posts za kukebehiana vimepungua sana.

Nadhani hali hii inapaswa kuendelea na kuzoeleka. Ni kitu kizuri sana
Bado hamjamaliza kuchonga mabango mengine kufurahia kuifunga timu kubwa kuliko nyie???
 
Yani kabisaaa wewe ndiyo baba mwenye familia yake kabisa yanii tena una watoto wapo chuo ukawaza kabisa kabisa uandike ulichoandika,
 
Yani kabisaaa wewe ndiyo baba mwenye familia yake kabisa yanii tena una watoto wapo chuo ukawaza kabisa kabisa uandike ulichoandika,
 
Yani kabisaaa wewe ndiyo baba mwenye familia yake kabisa yanii tena una watoto wapo chuo ukawaza kabisa kabisa uandike ulichoandika,
Halafu na wewe ukakoment kabisa.
 

Attachments

  • FB_IMG_1700408956145.jpg
    FB_IMG_1700408956145.jpg
    109.3 KB · Views: 3
Back
Top Bottom