Tangu Simba achapike bila huruma mnamo tarehe 5 November 2023, kumekuwa na kuheshimiana miongoni mwa watumiaji wa mitandao ya kijamii. Yale matusi yasiyo na sababu pamoja na posts za kukebehiana vimepungua sana.
Nadhani hali hii inapaswa kuendelea na kuzoeleka. Ni kitu kizuri sana.
Nadhani hali hii inapaswa kuendelea na kuzoeleka. Ni kitu kizuri sana.