Matusi haya ya Wamalawi kwa Watanzania yanachukiza....Wanatuita Stupid neighbours!!!eti sisi wajinga

Mbona ni maboi wazuri sana huku Tanzania.....wanajua gardening,kupiga pasi nguo na kusema YES SIR.....Wasikutishe bana
 
Mimi siwezi kuwalaumu. Inategemeana na jinsi wanavyotuona. Kumbuka, Joyce Banda alitamka mbele ya Kikwete kwamba ziwa Nyasa ni la Malawi kwa 100%. Kikwete hakusema kitu, akanyamaza tu. Eti Oh, wanadiplomasia wetu watalimaliza tu. Kama rais wa nchi anashindwa kuongea chochote juu ya umiliki wa TZ kwa ziwa Nyasa akwa uso kwa uso na rais mwenzie na bado tunalalamika eti ziwa si la Malawi tunategemea watueleweje?

HApo kwenye red una uhakika? au ulikuwepo mkuu
 
lnaelekea ile show ya kagera imeanza kuchuja sasa tunahitaji show mpya ya nyasa.
Yaani unataka miaka kumi na nane mingine? Lakini hao askari wa malawi walikuwa wakinipigia saluti nikipita huko, ingawa mimi sikuwa askari. Mmmmm.
 
EMT kuna matusi waliyoyasema kwa kilugha chao ungeyajua ungeshangaaaaa.......

Mkuu waache waseme. Hata hapa JF mbona wapo wanaowatukana Wamalawi including you? Linapokuja suala la mgogoro kati ya nchi mbili emotions za wananchi wa pande husika zinakuwa so high and uncontrolled. Hivi ni vitu vya kawaida ambavyo unatakiwa uvielewe kwanza.

Sasa na wewe naona kama umetekwa na emotions zao kiasi cha kushindwa kufikiria objectively. Sikulaumu. It is normal kwa binadamu wengi tuu. Lakini as a great thinker, it better ku-argue objectively than subjectively. Ni ngumu kwa issue kama hii inayohusu interests za nchi yako, lakini kama tutaendekeza u-subjectivity sijui kama tutafika mbali.

Ndiyo maama mpaka Azipa anadhani mie ni Mmalawi simply because sijatekwa na emotions and probably that I am looking both sides of the coins. Nina marafiki zangu Wamalawi wengi tuu, tunakutana, tunakunywa, tunajadili mambo kibao including hili la mpaka. Kuna sehemu tunakubaliana na kwingine tunapingana. Tukimaliza tunakumbatiana, tunaagana na next time tunakutana vile vile.

Hata kama watakuja kunitukana juu ya hii issue, itakuwa tuu emotions were running so high. But I will never let my emotions down na kuwatukana simply because wamenitukana.

Control you emotions mkuu. Nafikiri kwenye huu mgogoro ni sehemu ya kuonyesha Utanzania wetu tunaosifiwa na wezentu.
 
Tuna wamalawi watanzania wengi sana, yaliyo ndani ya skins zao wakati huu hatuyajui
 
Si umajua presidaa wetu anapenda totoz? Sasa ulitegemea aseme nn wakati anajua cku yoyote wanaweza wakakutana kwenye mkutano akaomba gem? Hata akiwapa hilo ziwa acha awape tu ilimradi Joy ampe mzigo tu.

This is very serious.....umemchoka kabisa jamaa
 
Kikwete asingeweza kuanza ubishi na mwanamke yule kwa kutetea kwamba ziwa Nyasa sio la Malawi 100%. Alifanya vizuri kunyamaza ili wasijeanza malumbano kipumbavu. Alijua ukweli utaanikwa tu. Hao wanaoropoka malawi ni mashabiki wa kawaida tu, hata vita ikianza hawatakuwapo maana hata kushika bunduki si ajabu hawajui. Wanatoka mapovu mdomoni tu. Ukibishana na mpumbavu, anayewaona atashindwa kujua nani hasa ndiye mpumbavu zaidi. Bora uwe kimya halafu ukweli ukionekana mwanikie meno ukicheka, ndipo atajua kwamba kumbe kichwa chake ni tenga la nyanya mbovu.
 
Ndiyo maama mpaka Azipa anadhani mie ni Mmalawi simply because sijatekwa na emotions and probably that I am looking both sides of the coins. Nina marafiki zangu Wamalawi wengi tuu, tunakutana, tunakunywa, tunajadili mambo kibao including hili la mpaka.
Again, no offence but I'm watching you. You could be one of those Malawians who can speak Kiswahili so fluently. I met such Malawians abroad and I was dumbstruck!
 
Wamalawi kituko, wanaongea tuu mambo ya vita! They have never fought a war! They actually dont know the outcomes! Poor u
 
Wamalawi wasubiri mazungumzo yaishe kwanza, ikishindikana muafaka wa kueleweka hatuna jinsi zaidi ya kulinda mipaka yetu kwa nguvu zote. Hayo makelele yao ya sasa ni kelele za mlango tu.

Aisee there society is roten. Porn movies are shown on public places i.e theater. I think they have big problem aisee mcameroon amewaffect mbaya.
 
Nimetafakari sana kuanzia mwanzo wa hii thread, nafikiri wamalawi wana kila sababu ya kutuporomoshea matusi kwani hata sisi wenyewe hatujijui. Angalia juzi Mbagala wale jamaa wametutukana na kutuchomea makanisa yetu ila mkubwa kufika kule akawa anacheka tu! Unafikiri hizi taarifa hazifiki nje? Leo hii wale jamaa za Mbagala hata humu hawapo kujenga hamasa ya kitaifa kwa utambulisho wao ule ule. Hakika hata hawa Mashoga wangejua kuna watu huko Tz. Leo hii mashoga wanatukana taifa zima kuanzia Ritz 1 hadi dhaifu. Naunga mkono kutetea taifa na rasilimali zake ila kuna ukweli fulani wa malawi kwetu mfano kusaidiwa na scandinavian countries toka uhuru ila bado tunatambaa. Wakubwa wanajenga ulaya na marekani kwa misaada hiyo kwanini tusitukanwe tena matusi ya humu*%#*^#*+*%#
 
Nitai-access vipi hii site/blog yao?
Nataka nikapambane nao kwenye uwanja wao wa nyumbani hawa Wanyasa njaa kali, zero kichwani!
 
Mie nadhani Wamalawi wanazidi kujisahahu na kuendelea mbele zaidi na kuanza kutuporomoshea matusi eti sisi wajinga....Kikwete mpumbavu.....hatujui kiingereza hivyo tutashindwa kesi ikiwa itaamuliwa na ICJ na mengi yanazidi kutuudhi. Wanatoa comments za Kishabiki na Kujidanganya kuwa eti kwa vile JK aliruhusu meli za Iran kujifanya za Tanzania...tukiingia vitani UK na US watawasaidia Malawi ili sisi tupigwe hebu oneni baadhi ya Mawazo ya Wamalawi. Pamoja na kupoteza wanajeshi wetu kule kwao bado tunaitwa Stupid neighbours.


Hapo kwenye blue ni kweli kabisa.
 
Wamalawi walivyo wajinga wanadhani hata vita tutapigana kwa kingereza. Naona hawajajijua kama wao ndiyo stupid neighbours,
wananikumbusha wale watu wanaowaonaga watu washamba kwa sababu ya ushamba wao.
 
Kiingereza kinachozungumzwa Tanzania ni bomba kuliko cha Wamalawi..........anyway, nina-print maoni yote ya wanajamvi na kuyatuma Ikulu kwa njia ya Courier Service (EMS au DHL)
 
Back
Top Bottom