Matusi haya ya Wamalawi kwa Watanzania yanachukiza....Wanatuita Stupid neighbours!!!eti sisi wajinga

Ta Muganyizi

R I P
Oct 19, 2010
5,361
2,734
Mie nadhani Wamalawi wanazidi kujisahahu na kuendelea mbele zaidi na kuanza kutuporomoshea matusi eti sisi wajinga....Kikwete mpumbavu.....hatujui kiingereza hivyo tutashindwa kesi ikiwa itaamuliwa na ICJ na mengi yanazidi kutuudhi. Wanatoa comments za Kishabiki na Kujidanganya kuwa eti kwa vile JK aliruhusu meli za Iran kujifanya za Tanzania...tukiingia vitani UK na US watawasaidia Malawi ili sisi tupigwe hebu oneni baadhi ya Mawazo ya Wamalawi. Pamoja na kupoteza wanajeshi wetu kule kwao bado tunaitwa Stupid neighbours.


b868601957ace2198f4aceaede1cf509
There is no point of discussing this issue with Tanzania, Lake Malawi will never be divided, 2014 Atupele akutenga boma and we will fight you foolish Kikwete and your friends.
Like
1_14_up.png
0
1_14_down.png
0
Reply





cc4a25e1667c600552bfb35c50bd02ab
Weather they like TZ has to recognise the internation rule as they are party of internation. If they want war for this issue they will be the ones to suffer because Malawi will get help and they will be alone in the battle. so TZ think wise. You are already being called greedy people. I did not know that hey are so stupid. they have been supported by scandivians countriessince indepedence but never developed as people. they are low in education of english. They still low becuse they studied english at the high level. Germany they never learnt at all. Swahili is what they know. Why do we Malawians need such stupid neighbours. they are frustrating us. They have problems in TZ. The president is not popular and he want to get elected by raising issues which can help him a vote. Many Wise TZ know about this. I have TZ friends who even ask why her nation taking up this issue which is clear.

Like
1_14_up.png
0
1_14_down.png
1
Reply



07c14bdce227343f40d3b3f2a90db8ed
Am begging the cocerned Authorities to provide all police stations boardering malawi, with new Automatic weapons. Its sad that officers are there and yet without weapons and u expect them to protect u, HOW?, Unless u ‘ re mad. People came from TZ, Claiming that they were from TZ fisheries department. But wat suprised me; they had amarine boat that had two mashine guns. Our poor malawian fishermen: couldnt resist but to surrender their valuable nets. Vithu ivi vakachitika ku chakwera vge, kaporo area. Not ku songwe. Chifukwa mphaka ya nyanja na songwe river, ili mu karongolera vge, thats kaporo Area. Pliz take note. Dis issue z still paining me, coz to my understanding, thats totally provocation. In short; supply boarder police officers with gud Automatic refles, coz issues can only be known through police. Pipo go to police to report issues, how do u expect an action from dem if
they are not fully equiped. Pliz, pliz, Tapela mweee.

Well-loved. Like
1_14_up.png
15
1_14_down.png
3
Reply
 
Kwa kiasi fulan wako sawa!
Tumekalia longolongo tukiangalia ziwa linakwenda kimchezo mchezo wakati uwezo, nguvu na sababu za kuwatandika vyote tunavyo!
Wee unafikiri wakati wa utawala wa Nyerere au hata Mkapa tuu wangethubutu kujigamba gamba hivyo? si tungewatwanga vilivyo!
 
Ukitaka kumuudhi mtu mwenye matusi mengi,msikilize halafu usimjibu.Unasepa taratibu atachukia mara mia.Wamemfukuza Balozi wa Tanzania nchini Malawi lakini wa kwao bado yupo,sasa nani stupid wao (Wamalawi)au sisi(Watanzania). Wakimaliza watanyamaza!
 
Jamani hebu angalieni comment ya pili anayesema sisi hatujui English....yeye alivyo bwabwaja....nimenjibu hukohuko malawi ni wa ajabu sana

Mimi siwezi kuwalaumu. Inategemeana na jinsi wanavyotuona. Kumbuka, Joyce Banda alitamka mbele ya Kikwete kwamba ziwa Nyasa ni la Malawi kwa 100%. Kikwete hakusema kitu, akanyamaza tu. Eti Oh, wanadiplomasia wetu watalimaliza tu. Kama rais wa nchi anashindwa kuongea chochote juu ya umiliki wa TZ kwa ziwa Nyasa akwa uso kwa uso na rais mwenzie na bado tunalalamika eti ziwa si la Malawi tunategemea watueleweje?
 
Weather they like TZ has to recognise the internation rule as they are party of internation. If they want war for this issue they will be the ones to suffer because Malawi will get help and they will be alone in the battle. so TZ think wise. You are already being called greedy people. I did not know that hey are so stupid. they have been supported by scandivians countriessince indepedence but never developed as people. they are low in education of english. They still low becuse they studied english at the high level. Germany they never learnt at all. Swahili is what they know. <font color="#ff0000">Why do we Malawians need such stupid neighbours.</font> they are frustrating us. They have problems in TZ. The president is not popular and he want to get elected by raising issues which can help him a vote. Many Wise TZ know about this. I have TZ friends who even ask why her nation taking up this issue which is cleareti
hatui english ...sawa hatujui ...then what....subiri kinuke tuone &nbsp;kama english itawasaidia au.....afu kumbe wanajitutumua kwa sababu wana uhakika wa backup ...HAWAJIAMINI KABISA
 
cc4a25e1667c600552bfb35c50bd02ab
Weather they like TZ has to recognise the internation rule as they are party of internation. If they want war for this issue they will be the ones to suffer because Malawi will get help and they will be alone in the battle. so TZ think wise. You are already being called greedy people. I did not know that hey are so stupid. they have been supported by scandivians countriessince indepedence but never developed as people. they are low in education of english. They still low becuse they studied english at the high level. Germany they never learnt at all. Swahili is what they know. Why do we Malawians need such stupid neighbours. they are frustrating us. They have problems in TZ. The president is not popular and he want to get elected by raising issues which can help him a vote. Many Wise TZ know about this. I have TZ friends who even ask why her nation taking up this issue which is clear.

Like
1_14_up.png
0
1_14_down.png
1
Reply

Huyo jamaa ni mjinga sana, you are talking about fighting and crying for help at the same time... Wajinga hawa kama wao ni wanaume kweli si wapigane wenyewe..
 
hao wamalawi wandhani kwamba kutoa lugha za kejeli ndo dili sana.Je tukianza kuwakimbiza hawa wanfunzi wao waliopo kwenye vyuo vetu itakuwaje?Mi naona tuende kwa utaratibu tu na tungojee hatima ya ICJ...
 
Mimi siwezi kuwalaumu. Inategemeana na jinsi wanavyotuona. Kumbuka, Joyce Banda alitamka mbele ya Kikwete kwamba ziwa Nyasa ni la Malawi kwa 100%. Kikwete hakusema kitu, akanyamaza tu. Eti Oh, wanadiplomasia wetu watalimaliza tu. Kama rais wa nchi anashindwa kuongea chochote juu ya umiliki wa TZ kwa ziwa Nyasa akwa uso kwa uso na rais mwenzie na bado tunalalamika eti ziwa si la Malawi tunategemea watueleweje?
Si umajua presidaa wetu anapenda totoz? Sasa ulitegemea aseme nn wakati anajua cku yoyote wanaweza wakakutana kwenye mkutano akaomba gem? Hata akiwapa hilo ziwa acha awape tu ilimradi Joy ampe mzigo tu.
 
Kwa kiasi fulan wako sawa!
Tumekalia longolongo tukiangalia ziwa linakwenda kimchezo mchezo wakati uwezo, nguvu na sababu za kuwatandika vyote tunavyo!
Wee unafikiri wakati wa utawala wa Nyerere au hata Mkapa tuu wangethubutu kujigamba gamba hivyo? si tungewatwanga vilivyo!
Wanajua kiongozi wetu mkuu ni dhaifu...
 
Jamani hebu angalieni comment ya pili anayesema sisi hatujui English....yeye alivyo bwabwaja....nimenjibu hukohuko malawi ni wa ajabu sana

Kama wanachosema ni kweli basi hapo haina tatizo, ila kama si ukweli kuna tatizo. Unajali nini wewe akija mtu akasema wewe ni binadamu wakati kweli wewe ni binadamu? Vipi akikuita nyani wakati we binadamu? Kama wamesema kuwa hatujui na ukweli ni kuwa kweli hatujui, hakuna shida, ila kama wamesema hatujui wakati tunajua, hapo pana mgogoro upande wa msemaji,..., kichwani atakuwa hajatulia,... na mara nyingi matusi yasiyo sababu huwa yanaambatana na woga pamoja na inferiority complex!
 
hao wamalawi wandhani kwamba kutoa lugha za kejeli ndo dili sana.Je tukianza kuwakimbiza hawa wanfunzi wao waliopo kwenye vyuo vetu itakuwaje?Mi naona tuende kwa utaratibu tu na tungojee hatima ya ICJ...

Vyuo vipi kuna wamalawi hao hawana ata qualifications za kusoma vyuo vyetu nimesoma UDSM pale kuna wakenya na waganda hao wa malawi ni walinzi waaminifu wa mageti yetu.
 
Sasa uyu nae anajua kingereza au na Mimi Sijui??


By Ta Muganyizi
Weather they like TZ has to recognise the internation rule as they are party of internation. If they want war for this issue they will be the ones to suffer because Malawi will get help and they will be alone in the battle. so TZ think wise. You are already being called greedy people. I did not know that hey are so stupid. they have been supported by scandivians countriessince indepedence but never developed as people. they are low in education of english. They still low becuse they studied english at the high level. Germany they never learnt at all. Swahili is what they know. Why do we Malawians need such stupid neighbours. they are frustrating us. They have problems in TZ. The president is not popular and he want to get elected by raising issues which can help him a vote. Many Wise TZ know about this. I have TZ friends who even ask why her nation taking up this issue which is clear
 
Acha kuhangaika na nchi ya Gays na Lesbians. Wao wanafikiria kukameruniwa tu na waingereza na wamarekani ndo maana wanawategemea sana kwenye hii vita. Kwa kuwakumbusha tu, mwigereza ndo alikuwa mvamizi wa nchi yetu na tulimng'oa, hata sasa akija tutapigana naye kwa nguvu, mali na akili zetu. Wao waendelea na homosexuality yao huko. Gays na Lesbians wanaakili za namna hiyo.
Malawians should ask themselves that do the UK and the USA like them because of being Malawians or for business affair? Just to remind them that the UK and the USA will not involve in an unprofitable deal including the battle which they expect to be favoured if it does not pay back. These countries have only permanent interests and not permanent friends. Currently, Malawi might be a temporal friend just for use and abuse. If they want to prove this, let them push for a battle,they will see.
Tanzania is an independent country which will fight not only against Malawi but also even the UK and the USA to protect its borders no matter how the invaders are strong or weak.
 
Vipi wale jamaa wa mbagala mbona siwaoni kwenye hii issue ya kutukanwa.???au ubabe wao ni kuchoma makanisa tu.watiririke basi tuwaone au lugha gongana.?????ahaaaaaa ,kweli mjinga usimjibu muangalie alafu endelea na mambo yako.wakati yeye analumbana wewe chapa kazi mpaka aje kustuka wewe upo chalinze unarudi.
 
cc4a25e1667c600552bfb35c50bd02ab
Weather they like TZ has to recognise the internation rule as they are party of internation. If they want war for this issue they will be the ones to suffer because Malawi will get help and they will be alone in the battle. so TZ think wise. You are already being called greedy people. I did not know that hey are so stupid. they have been supported by scandivians countriessince indepedence but never developed as people. they are low in education of english. They still low becuse they studied english at the high level. Germany they never learnt at all. Swahili is what they know. Why do we Malawians need such stupid neighbours. they are frustrating us. They have problems in TZ. The president is not popular and he want to get elected by raising issues which can help him a vote. Many Wise TZ know about this. I have TZ friends who even ask why her nation taking up this issue which is clear.

Like
1_14_up.png
0
1_14_down.png
1
Reply

Kama kiingereza cha huyu kilaza ndo hiki, bora tusikijue kabisa. Yaani kuisoma hii paragragh hadi uimalize ni kama kutafuna wali wenye mchanga!!!!
 
Back
Top Bottom