driller
JF-Expert Member
- Aug 25, 2011
- 1,116
- 240
Unalako jambo weye!
umeona eeeh...! watu bwana kwa kumback up cameroon....!
Unalako jambo weye!
Nyuma kutamu bana asikwambie mtu
Mhhh tatizo lako hilo
Duh yaani hapa ndo umeona great analysis
amnaaah umeona jisi jamaa alivyo analyse lakini..!? au unataka kuleta kesi tena hapa haya tuanze kakosea wapi...!? maana nyie hadi nukta mnaishupalia...!
Milango ya nyuma inapendwa sana mkuu. sio kwa nyumba tu....
Mlango wa nyuma ni mdogo kuliko ule wa mbele, kwa kuwa watu wengi wanapenda msuguano na mbanano wanatumia mlango wa nyuma. Pia kwa kuwa mlango wa nyuma huanzia jikoni badala ya sebuleni, hivyo joto lake ni kubwa zaidi, watu wengi wanapenda joto hasa sehemu za baridi. Zaidi ya hapo ni addictions tu....
Analysis yake anataka hii thread ipelekwe jukwaa la wakubwa wakati sio lengo la mtoa mada
haya mambo ya sijui joto na nini kwani mlango wa nyuma wa nyumba kuna joto gani
Mlango wa nyuma mkuu si upo karibu na jiko na jiko kila wakati linatumika kupikia hivyo direct kuambukizwa joto la jiko.
ndyoko......... kwenu mnatumia mlango wa nyuma tu?? yani mnafungua mbele kufanya usafi tu??
Mlango wa uani/jikoni unatumika zaidi kwa ajili ya kuhakikisha usalama. Mfano kama umewaacha watu nyumbani maid/watoto au ndugu, ni rahisi wakakaa huko nyuma ya nyumba wakajisahau ukatokea hata wizi. Japo ni muhimu kufanya usafi mlangoni daily. Haina tofauti na kutumia kitchen dining for convenience unless kuna wageni maalum.
Sio wote wana jiko ndani ya nyumba
Unasemaje hapo kwa wale ambao hawapikii kwenye nyumba kubwa wana jiko la nje mkuu
Hao mkuu watakuwa hawatumii mlango wa nyuma, hivyo joto la mlango huo litakuwa halipo kwikwi kwikwi kwikwi kwikwi kwikwi heeeeeeeh!!
Mr. Rocky umenifurahisha sana kwa swali lako.
Mkuu kwa analysis za watu humu hii topic kesho utaikuta jukwaa la mambo ya kikubwa maana inakoelekea siko kabisa
Mtoa uzi, ni wazi alilenga haya yanayojadiliwa ila kaona watu wengi wanauliza wazi yeye kaamua kutumia lugha ya mafumbo. Upo sahihi Mr. Rocky PAW akipita utakuta uzi umehamishwa.
Mkuu kwa analysis za watu humu hii topic kesho utaikuta jukwaa la mambo ya kikubwa maana inakoelekea siko kabisa
Ilishawekwa ikatolewa maana hata mimi niliwauloza iweje mtoa mada hajaonyeshe dalili ya kuongelea hayo yanayodhaniwa hapa alafu ipelekwe kule. Watu wengine naona wamepania kweli kuivuruga.
Wezi?
umehamia lini Manzese?