Mtagwa lindi
JF-Expert Member
- Mar 12, 2012
- 311
- 96
Jana huko wilaya ya kilombero makuu wa mkoa wa morogoro aliwaita wakuu wa wilaya zote mkoani humo pamoja na wakuu wa idara zote kwenda kushuhudia kufunguliwa kwa uvuaji wa samaki katika mto kilombero uliokuwa umezuiliwa kwa miez6,tukio hlo lingeweza tu kutangazwa na bw samaki wa wilaya pia kupitia redio lkn sio kuita watu na kutumia mafuta ya wavuja jasho,nawasilisha