Picha unayoiona hapo juu ni ushahidi wa matumizi mabaya ya kodi za wananchi. watu hawa wengi sio wote wametoka Tanzania
kwa ticket ya first class kwenda kuwakilisha faili moja hilo jeusi aliloshika huyo mzungu. swali la kujiuliza kazihiyo kweli isingeweza kufanywa na maofisa wa ubalozi wetu ambao tunawalipa pesa chungu mzima kuishi huko marekani?? kama watu watatoka Tanzania kwenda kupeleka faili marekani basi kuna haja gani kabisa ya kuendelea kuwa na ubalozi?? ombeni sefue pamoja na kukaa marekani miaka mingi tulitegemea angewaelimisha wenzake lakini na mwenyewe ameamua kujiunga na mapanya wanaoitafuna Tanzania live.