Crashwise
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 22,227
- 8,735
leo katika taarifa zao kulikuwa na habari iliyo ihusu chadema na mikutano ya kutafuka wanachama wapya, wakati wanamhoji kiongozi wa chadema gafla matangazo ya biashara yakaanza kurushwa na kupelekea kiongozi huyo liekuwa akiendelea kuongea asisikike alicho kuwa anakiongea lakini kbla ya mahojiano hayo ya kiongozi wa chadema kuingiliwa na matangazo ya biashara alikuwa amesha sema kuwa chadema imepata wanachama 200 huku 20 kutoka CCM pamoja na kiongozi mmoja wa kijiji...je kitendo hiki tuchukulie kuwa ni bahati mbaya au ni hujuma..ni kwenye kipindi ya matukio saa 07:09.