Muzine
JF-Expert Member
- May 4, 2017
- 32,366
- 60,406
Habar wana Jf
Katika harakat zangu za maisha nimekutana na viroja vingi sana ndani ya mabasi ya mkoani ambayo ni
1.Kukaa siti moja na mtu anayekula njia nzima kila anachokiona ananunua anakula mpaka anakuchafua na ww yan hana ustarabu wengine unakuta hatuna hela mnafanya matumbooo yaumeeee tu mara kuku mara bugger jaman mara eggchops tutakuja tuzimie bure
2.Usiombe ukakaa siti moja na bongeee anakubana anasogea mpaka kwenye siti yako na magar yetu ya masafa marefu siti ndogoo yan unafika homee umechoka maana sio kwa kubanwa kuleee
3.Mtu aliyepuliza marashi utazani harufu ya mochwari yani harufu huingia hadi tumboni na kufanya mvurugano utatamani utapike alafu ukiwa hujala sjui utatapika utumbo hebu tuwe tunachagua marashi yenye harufu za ustaarabu
4.Madereva ambao hawatak watu wachimbe dawa yani nimeshawahi kupanda basi kutoka dar hadi dodoma ndo tukasimama kuchimba dawa mnataka watu tubast vibofuu vya mkojoo au yan dereva amejikausha kama hana akili vizur
5.Abiria wanaong'ang'ania siti za dirishani ukiangalia tiket yake ameandikiwa siti inayoanza sio ya dirishan hawa wanajifanyaga wanatapika kwenye magar unashangaa mnasafir mpaka mmefika hajatapika inaonekana ni mshamba anapenda kuangalia nyumba na miti inavyokimbia
6.Pale unapondondokewa na vibegi na mikoba inayokaa kwenye keria za ndani ya basi alafu mwenyewe anajikausha unabid unyanyuke uweke vizur
Mengine mtaongezaaa nisiwachosheeee
Sent using Jamii Forums mobile app
Katika harakat zangu za maisha nimekutana na viroja vingi sana ndani ya mabasi ya mkoani ambayo ni
1.Kukaa siti moja na mtu anayekula njia nzima kila anachokiona ananunua anakula mpaka anakuchafua na ww yan hana ustarabu wengine unakuta hatuna hela mnafanya matumbooo yaumeeee tu mara kuku mara bugger jaman mara eggchops tutakuja tuzimie bure
2.Usiombe ukakaa siti moja na bongeee anakubana anasogea mpaka kwenye siti yako na magar yetu ya masafa marefu siti ndogoo yan unafika homee umechoka maana sio kwa kubanwa kuleee
3.Mtu aliyepuliza marashi utazani harufu ya mochwari yani harufu huingia hadi tumboni na kufanya mvurugano utatamani utapike alafu ukiwa hujala sjui utatapika utumbo hebu tuwe tunachagua marashi yenye harufu za ustaarabu
4.Madereva ambao hawatak watu wachimbe dawa yani nimeshawahi kupanda basi kutoka dar hadi dodoma ndo tukasimama kuchimba dawa mnataka watu tubast vibofuu vya mkojoo au yan dereva amejikausha kama hana akili vizur
5.Abiria wanaong'ang'ania siti za dirishani ukiangalia tiket yake ameandikiwa siti inayoanza sio ya dirishan hawa wanajifanyaga wanatapika kwenye magar unashangaa mnasafir mpaka mmefika hajatapika inaonekana ni mshamba anapenda kuangalia nyumba na miti inavyokimbia
6.Pale unapondondokewa na vibegi na mikoba inayokaa kwenye keria za ndani ya basi alafu mwenyewe anajikausha unabid unyanyuke uweke vizur
Mengine mtaongezaaa nisiwachosheeee
Sent using Jamii Forums mobile app