Labda ikulu ya panzi. sio ya magogoni
Kwa weredi wa siasa utaelewa kwanini matukio haya mawili,kifo cha Mtikila na kujiondoa kingunge,haya matukio yameambatana ili kutufanya tusaau tukio LA asubuhi,weredi watanielewa,
Kwa weredi wa siasa utaelewa kwanini matukio haya mawili,kifo cha Mtikila na kujiondoa kingunge,haya matukio yameambatana ili kutufanya tusaau tukio LA asubuhi,weredi watanielewa,
Marehemu alikuwa bingwa Wa conciparacy theory juu ya ajali Na kifo cha Chacha Wangwe. Haya kama hatuamini uwezo Na uwepo Wa mungu IPO nguvu isiyoonekana inayoambatana Na maneno yetu. Leo naye kafa ajalini watu kama yeye wanaanza theories. Hata hivyo Rest where you belong PastorHiyo ni theory yako tu waachie polisi na Madaktari wafanye kazi yao
Hata kuandika neno weledi hujui hii habari haitokuwa na maanaKwa weredi wa siasa utaelewa kwanini matukio haya mawili,kifo cha Mtikila na kujiondoa kingunge,haya matukio yameambatana ili kutufanya tusaau tukio LA asubuhi,weredi watanielewa,
Kingunge sio mzima watu tupo msibani tunaombeleza kifo cha shujaa wetu na mzalendo anatuletea ngonjera za lowassa. Pambafu kabisa huyu mzee
Labda ikulu ya panzi. sio ya magogoni
Kwa weledi wa siasa utaelewa kwanini matukio haya mawili,kifo cha Christopher Mtikila na kujiondoa Kingunge, haya matukio yameambatana ili kutufanya tusaau tukio la asubuhi,weledi watanielewa.
Wacha utoto wewe, ulikuwepo kwenye siasa za nchi hii tangu lini, unaonekana hata hujui kitu!
Jiulize Kingunge ana elimu gani na alikuwa anapewa wizara zipi halafu ujijibu kwa nini alikuwepo mule serikalini mpaka anazeeka hatolewi, halafu ujue ccm wamepoteza kitu gani hii leo!
Usiongee kama mtoto hapa, wakubwa zako huko lumumba mavi yanagonga chupi nyie watoto ndio hamuelewi kinachoendelea !
Pipooooz .lowassa
Pipooooz .lowassa
Kwa weledi wa siasa utaelewa kwanini matukio haya mawili, kifo cha Christopher Mtikila na kujiondoa Kingunge, haya matukio yameambatana ili kutufanya tusahau tukio la asubuhi, weledi watanielewa.
Mkuu usijali upepo wa kingunge ushakata leo bado tunakomaa na ishu ya Mtikila na majibu soon yanakuja.
Umetumia nyundo ya kilo 50 kuuwa kasisimizi, ilitosha tu kumwambia asome signature yako huyo kima jikeAkuelewe nani mburura tu wewe.
Yaani kwa upumbavu ulionao mleta mada haujishughulishi na kuangalia Taarifa za habari kupitia TV mbali mbali na hasa ITV wameonyesha wazi na majeruhi mmoja ambaye ni mchungaji waliyekuwa pamoja na Marehemu ni kuwa dereva alikuwa anaendesha kwa mwendo kasi na hadi marehemu alikuwa akimwambia mara kadhaa kupunguza mwendo na walifika kituo cha mafuta na kuweka mafuta hapo mkoani pwani na baada ya hapo Marehemu hakuwa amejifunga mkanda na ndicho hasa kilichosababisha kifo chake kwani alichomoka kutoka kwenye gari. Sasa kati ya huyo majeruhi na wewe mleta mada Mpumbavu ni nani yuko sahihi?
Napita tu, hivi leo hakuna aliyepika pilau humu! maana natembea na ndizi mfukoni...