Matokeo yangu ya hesabu

Sifa ni sifa tu hata kama za muda mfupi unapaswa kukifurahia kipindi kile kifupi AMBacho watu waliojua umepasua kumbe sio.

Ila katika masomo nimejifunza ukifeli siyo kwamba huna akili
 
Umenikumbusha kipindi ambacho nipo sekondari tulifanya mtihani mmoja wa hesabu sasa tugagawiwa mitihani lakini nilipata mark ndogo sana.Mwalimu alikuwa anafanya masahihisho basi kuna jamaa mmoja alipasua kweli sasa wakati mwalimu anafanya masahihisho jamaa akanyosha mkono akamwambia mwalimu amekosekoseshwa basi akaongezewa marks .lakini mimi pamoja na kufeli nikiangali kama kuna swali lolote nililo koreshwa silioni bali naona swali nililopatishwa.Mambo haya yalikuwa yanakatisha tamaa sana.
 
Umenikumbusha kipindi ambacho nipo sekondari tulifanya mtihani mmoja wa hesabu sasa tugagawiwa mitihani lakini nilipata mark ndogo sana.Mwalimu alikuwa anafanya masahihisho basi kuna jamaa mmoja alipasua kweli sasa wakati mwalimu anafanya masahihisho jamaa akanyosha mkono akamwambia mwalimu amekosekoseshwa basi akaongezewa marks .lakini mimi pamoja na kufeli nikiangali kama kuna swali lolote nililo koreshwa silioni bali naona swali nililopatishwa.Mambo haya yalikuwa yanakatisha tamaa sana.

Ah ah aj
 
Nilipokuwa shule ya msingi kuanzia la 4 hadi la 7 maksi zangu za hesabu kwenye mitihani zilikuwa zinacheza kwenye 03% hadi 08%.

Matokeo yalikuwa yanatangazwa mbele ya darasa!yanapotangazwa mwalimu anaanza kuwaita wanafunzi kwakuanzia maksi za chini kwenda juu (0-100),kwahiyo darasa lote linajua makaratasi yakiletwa lazima niitwe kama si wa kwanza basi wa pili.

Siku moja mwalimu akaanza kuita majina,mpaka akafikia kwenye maksi 30%,40%,50%,60%,70% bado tu mi hajaniita.
Watu wakaanza kuniangalia waliokuwa karibu wakaanza kuniuliza....""eeeh umepasua hujaitwa,ilikwaje??"
Nilianza kuvimba kichwa,huku mwalimu anaendelea kugawa tu makaratasi.

Yakabaki makaratasi ya waliopata 80%-90% bado mi sijaitwa tu.
Mara akabaki na karatasi moja mkononi,darasa lote macho kwangu hawaamini kinachotokea maana bado sijapata karatasi.

Mwishoni mwalimu akaangalia juu,kisha akasema "kuna ng'omba hajaandika jina kapata 0% aje achukue karatasi yake"
Nilienda kuchukua nikiwa mpole.

Aisee nilcheka sana kila m2 ofcn alnishangaa nikaambiwa nimeweuka, nikasema ebu wote nisklze nikawasomea walcheka sana, inaburudshaa sana nikboreka nakuja hapa kucheka.
 
Heheeee, nilipataga hamna mtihani wa hesabu Form two. Sitasahau kwa kweli.
 
Heheeee, nilipataga hamna mtihani wa hesabu Form two. Sitasahau kwa kweli.
hisabati lolote laweza tokea,wengi hata ukipata formula au njia kama jibu ni kosa hawakupi hata nusu marki.
 
Aisee nilcheka sana kila m2 ofcn alnishangaa nikaambiwa nimeweuka, nikasema ebu wote nisklze nikawasomea walcheka sana, inaburudshaa sana nikboreka nakuja hapa kucheka.
ndo hivo bhana usicheze na hesabu
 
Nilipokuwa shule ya msingi kuanzia la 4 hadi la 7 maksi zangu za hesabu kwenye mitihani zilikuwa zinacheza kwenye 03% hadi 08%.

Matokeo yalikuwa yanatangazwa mbele ya darasa!yanapotangazwa mwalimu anaanza kuwaita wanafunzi kwakuanzia maksi za chini kwenda juu (0-100),kwahiyo darasa lote linajua makaratasi yakiletwa lazima niitwe kama si wa kwanza basi wa pili.

Siku moja mwalimu akaanza kuita majina,mpaka akafikia kwenye maksi 30%,40%,50%,60%,70% bado tu mi hajaniita.
Watu wakaanza kuniangalia waliokuwa karibu wakaanza kuniuliza....""eeeh umepasua hujaitwa,ilikwaje??"
Nilianza kuvimba kichwa,huku mwalimu anaendelea kugawa tu makaratasi.

Yakabaki makaratasi ya waliopata 80%-90% bado mi sijaitwa tu.
Mara akabaki na karatasi moja mkononi,darasa lote macho kwangu hawaamini kinachotokea maana bado sijapata karatasi.

Mwishoni mwalimu akaangalia juu,kisha akasema "kuna ng'omba hajaandika jina kapata 0% aje achukue karatasi yake"
Nilienda kuchukua nikiwa mpole.


Ha! Ha! Ha! Joke yako imeitendea haki avatar yako!
 
Back
Top Bottom