Umenikumbusha kipindi ambacho nipo sekondari tulifanya mtihani mmoja wa hesabu sasa tugagawiwa mitihani lakini nilipata mark ndogo sana.Mwalimu alikuwa anafanya masahihisho basi kuna jamaa mmoja alipasua kweli sasa wakati mwalimu anafanya masahihisho jamaa akanyosha mkono akamwambia mwalimu amekosekoseshwa basi akaongezewa marks .lakini mimi pamoja na kufeli nikiangali kama kuna swali lolote nililo koreshwa silioni bali naona swali nililopatishwa.Mambo haya yalikuwa yanakatisha tamaa sana.
Nilipokuwa shule ya msingi kuanzia la 4 hadi la 7 maksi zangu za hesabu kwenye mitihani zilikuwa zinacheza kwenye 03% hadi 08%.
Matokeo yalikuwa yanatangazwa mbele ya darasa!yanapotangazwa mwalimu anaanza kuwaita wanafunzi kwakuanzia maksi za chini kwenda juu (0-100),kwahiyo darasa lote linajua makaratasi yakiletwa lazima niitwe kama si wa kwanza basi wa pili.
Siku moja mwalimu akaanza kuita majina,mpaka akafikia kwenye maksi 30%,40%,50%,60%,70% bado tu mi hajaniita.
Watu wakaanza kuniangalia waliokuwa karibu wakaanza kuniuliza....""eeeh umepasua hujaitwa,ilikwaje??"
Nilianza kuvimba kichwa,huku mwalimu anaendelea kugawa tu makaratasi.
Yakabaki makaratasi ya waliopata 80%-90% bado mi sijaitwa tu.
Mara akabaki na karatasi moja mkononi,darasa lote macho kwangu hawaamini kinachotokea maana bado sijapata karatasi.
Mwishoni mwalimu akaangalia juu,kisha akasema "kuna ng'omba hajaandika jina kapata 0% aje achukue karatasi yake"
Nilienda kuchukua nikiwa mpole.
Nilipokuwa shule ya msingi kuanzia la 4 hadi la 7 maksi zangu za hesabu kwenye mitihani zilikuwa zinacheza kwenye 03% hadi 08%.
Matokeo yalikuwa yanatangazwa mbele ya darasa!yanapotangazwa mwalimu anaanza kuwaita wanafunzi kwakuanzia maksi za chini kwenda juu (0-100),kwahiyo darasa lote linajua makaratasi yakiletwa lazima niitwe kama si wa kwanza basi wa pili.
Siku moja mwalimu akaanza kuita majina,mpaka akafikia kwenye maksi 30%,40%,50%,60%,70% bado tu mi hajaniita.
Watu wakaanza kuniangalia waliokuwa karibu wakaanza kuniuliza....""eeeh umepasua hujaitwa,ilikwaje??"
Nilianza kuvimba kichwa,huku mwalimu anaendelea kugawa tu makaratasi.
Yakabaki makaratasi ya waliopata 80%-90% bado mi sijaitwa tu.
Mara akabaki na karatasi moja mkononi,darasa lote macho kwangu hawaamini kinachotokea maana bado sijapata karatasi.
Mwishoni mwalimu akaangalia juu,kisha akasema "kuna ng'omba hajaandika jina kapata 0% aje achukue karatasi yake"
Nilienda kuchukua nikiwa mpole.