Erickb52
JF-Expert Member
- Oct 31, 2010
- 18,539
- 11,442
Last edited by a moderator:
Nishapiga mara kumi hadi sasanenda kapige kura mkuu
Duh....!!! Sasa hapo nimchague nani wajameni!!!
Smiling Saint Amyner ameshakuwa mke wangu so sitaki ashiriki mambo ya vijana masingle kama akina Remmy na Madame B
Kwani si mlishaachana Madame B au bado mnatongozana tena na Ruhazwe JR ?
Hahahaaaaa umeona eeeeh kaamua kuja kuanzisha mashindano ya Umiss lolNaona ananiletea dalili za kunitongoza upya,
mwambie SIMTAKI!!!
Nilichoka kuishi maisha ya Full Suti,Mlo Mmoja,
Mwanamke nilikuwa sing'ai!!
Akhaaa!!
Anitue babu wee!!
Mpe salamu huyo.
Hahahaaaa ruttashobolwa hafai kama alivyo AsprinNani yupo single?
Nina Almasi ring ya Mr Ruttashobolwa kidoleni.
Mgombea wangu madameB wamembandua sipigi kura ng'o!
Nani yupo single?
Nina Almasi ring ya Mr Ruttashobolwa kidoleni.
Naona ananiletea dalili za kunitongoza upya,
mwambie SIMTAKI!!!
Nilichoka kuishi maisha ya Full Suti,Mlo Mmoja,
Mwanamke nilikuwa sing'ai!!
Akhaaa!!
Anitue babu wee!!
Mpe salamu huyo.
Nampigia kura Remmy
na pia BAGAH kasema amempigia kura Remmy ila mtandao unasumbua kwake
Pia hesabu kura ya Mr Rocky na mkewe Yummy na cacico na mumewe Asprin plus kura ya Kaizer na mkewe gfsonwin bila kuwasahau C6 wamempigia Remmy Kipipi kasema hawezi kumsahau Remmy kwenye hizi fainali Ruhazwe JR record hizo kura please
Naendelea kuwasiliana na Bishanga kuona kama ataweza kumpigia Remmy kura ila FirstLady1 na watu8 walishaahidi kura zao hazipotei wala kuharibika